Kuna watu wamekua matajiri kupitia huu mkasa, kuna mama kajenga majumba kibao ana estate km uchafu kila mwisho wa mwezi ubalozi wa Marekani unawaingizia pesa, wafiwa huyo mama alifiwa na mume wake analipwa mpaka kesho in $twin bombings of Aug. 7, 1998, that destroyed the American Embassies in Nairobi, Kenya and Dar es Salaam, Tanzania.
Mchaga kwaa hela hata mzazi wake ana mkana, lolYesu na Maria !!! Mchaga na ugaidi wapi na wapi?
Yani mchaga OG amkane Yesu kisa hela? Hilo sahau
Wapo Ila sitaki kuzungumza hili Ila we jua wapo, usije ukaanza kuniuliza maswali we jua wapoSijawahi kuona makahaba wa 100USD/hr mwenye Mushi , Massawe au jina la kichaga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ule uzito wa ule mlipuko sitaweza kuusahau mpaka nakufa.!!!!!!!! Wakazi wa Magomeni watakuwa mashahidi kwenye hili!!!!!!!! Utafikiri lililipuliwa Magomeni!!!!!!!!!!!!!!! Kile kishindo hatari!!!!!!!!!!!!!
What next ndiyo tukajua CIA na FBI ni nani!!!!!!!! Ilala plus Magomeni ule mchakamchaka wake kama movie vile!!!!!!!!!!!!!
Same here LY 1998 nakumbuka kishindo na wingu zito angani. nakumbuka vyema siku hiiNakumbuka LY 98, tunasikia mlipuko tukiwa shule, badae ndio tunasikia ni bomu ubalozi wa US.
huna akili, i think you were not born yet or may be you were somewhere in your father's ball when that incident took place.Source: Trust me Bro
huna akili, i think you were not born yet or may be you were somewhere in your father's ball when that incident took place.
huna akili.Wewe shangazi 1998 tayari naroll streets za New York City kama nipo bongo wakati wewe bado upo kwenu Chitipa unakula kamasi tu.
Kwa akili yako fupi unaamini FBI walianza kwa kuangalia accounts za nchi nzima za nani aliyeingiziwa kiasi kikubwa cha pesa ili aunganishwe na hii kesi? Watu wengine mlienda shuleni kusomea ujinga.
Hii kesi ipo documented online from start to end, leta source inayosema FBI walianza na accounts za wafanyabiashara kenge wewe.
huna akili.
huna akili.leta source
Huu ndio ukweli kwa 100%Alikuwa hajui alifanyalo,alidhani ni deal tu
At 24/25 tayali aliaminiwa na kuwa bodyguard wa Osama. Huwa wanaandaliwa tangu u hanga?!Ahmed Ghailan alikuwa ni mtumishi au agent wa Alqaeda,so alikuwa kazini,ameshiriki mission nyingi mpaka kuja kudakwa.
Kuna wakati alikuwa bodyguard wa Osama kwa mujibu wa FBI
Wapo makini sana kiupelelezi.......ile kesi ya Mbowe wangeitupilia mbali kitamboWamarekani walijua shambulizi la aina ile lilihitaji finance, bila hivyo isingewezekana kukamilisha tukio kubwa kama lile, jamaa wanajua connect dots mpaka wapate majibu ya uhakika..
Mimi nilikuwa Malangali huko, tunasikia kwenye redio tu. Wenzetu mlikuwa mashuhuda.Ule uzito wa ule mlipuko sitaweza kuusahau mpaka nakufa.!!!!!!!! Wakazi wa Magomeni watakuwa mashahidi kwenye hili!!!!!!!! Utafikiri lililipuliwa Magomeni!!!!!!!!!!!!!!! Kile kishindo hatari!!!!!!!!!!!!!
What next ndiyo tukajua CIA na FBI ni nani!!!!!!!! Ilala plus Magomeni ule mchakamchaka wake kama movie vile!!!!!!!!!!!!!
Aisee kwa hapo Wamarekani nawapa salute. Waliupiga mwingi sana. Wana connect dots balaa