vp turati kunani huko?ahlaan wasahlaan... sheikh nasikia umeuza simu na umekwenda kujitibu tezi Dume na ndo maana huonekani jamvini...???
inamaana ilikua ipigwe pale santiago bernabeu halafu wamekataa eee wanaogopa barca asije kuchukua ubongwa katika dimba lao kwa maana hiyo final itapigwa camp noubaada ya madrid kugoma fainali ya copa kuchezewa santiago.sasa fainali itachezewa comp now huku kila timu ikipewa tikeke 40000
R.M wanaogopa siyo, tuitakie heri timu yetu ibebe hiyo ndoo pale pale nyumbani.
Pongez kwake Messi.....Messi anaongoza kwa uchezaj bora kwa mwaka 2015 huku ronado akishika nba 29 wa pili ni arjen roben HAPANA CHEZEA MESSSSSSSI
inamaana ilikua ipigwe pale santiago bernabeu halafu wamekataa eee wanaogopa barca asije kuchukua ubongwa katika dimba lao kwa maana hiyo final itapigwa camp nou
Pongez kwake Messi.....
Hahahaha ALEYN unanifurahisha sana..... Tuombe Mungu ndoo tuichukue ili azidi kung'araa
....huu mwaka mm nina furaha sana.
....furaha ya kwanza ni pale Chelsea alipoaga UEFA, akafata Arsenal.
.....furaha imezidi baada ya real madrid kupangwa na atletico madrid UEFA.
furaha yetu itaanza kumiminika siku ambayo Real Madrid anaaga rasmi UEFA, hakika tutalia kwa furaha.
Madrid akitoka kombe letu.[/QUO
Dah!! Acha kabisa itakuwa furaha kubwa sana kwetu, ila CR ana usongo sana anapigana waendelee kuwepo, tuendelee kuomba tu migongano izidi kwenye club yako,Lol
furaha yetu itaanza kumiminika siku ambayo Real Madrid anaaga rasmi UEFA, hakika tutalia kwa furaha.
Madrid akitoka kombe letu.
hii kupangwa na atletico madrid nimeipenda na mimi mkuu ukizingatia wale atletico wana kisasi kile ambacho real madrid waliwashinda katika final ya mwaka jana CL tena kwa secunde za mwisho leo hii nao wanataka wawalipe usishangae siku hiyo ramos na pepe kupewa red card kwa rafu zao watakazo cheza....huu mwaka mm nina furaha sana.
....furaha ya kwanza ni pale Chelsea alipoaga UEFA, akafata Arsenal.
.....furaha imezidi baada ya real madrid kupangwa na atletico madrid UEFA.
Kwanini unakuwa na timu nyingi Mkuu, njoo spain ambapo mpira unachezwa na unafurahia radha ya soka.
karibu FC Barcelona.
Hujionei huruma kupangwa na PSG, unatuonea huruma sisi kupangwa na atletico
furaha yetu itaanza kumiminika siku ambayo Real Madrid anaaga rasmi UEFA, hakika tutalia kwa furaha.
Madrid akitoka kombe letu.[/QUO
Dah!! Acha kabisa itakuwa furaha kubwa sana kwetu, ila CR ana usongo sana anapigana waendelee kuwepo, tuendelee kuomba tu migongano izidi kwenye club yako,Lol
mbona Ronaldo kishazeeka yuleee!!?? we huoni mwaka huu alivyofulia, sema baada ya kupata goli camp nou kaosha kweli kwenye magazeti yaani.