-Am good, hili Jukwaa la Barca halina udaku udaku na majungu.
-England kule maneno mengi harafu hakuna wanachofanya nje taifa lao.
-Kesho nipo Manchester City, nitashabikia Man City coz mpira wanaocheza unasomeka, ni tofauti na Man U.
Umepona Dota?
Tumepoteza point muhimu sana
yaaani acha tu yule kocha nae kwanini hajamtoa jiremy matheiu akamuingiza masherano yule nae suarez yuko na goli anapaisha mpira daah imeniuma ila tukubali matokeoYaani nimekasirika ile mbayaaaa!! Lakini siyo mbaya ndo mambo ya mpira dakika 90, sasa RM wanatukimbiza na point 2.
ivo huyu mascherano ana tatizo gani kaumia au kuna kadi juu yake gem ya pili hiii hachezi yule kocha anakera utamtoaji neymar uingize xiavi na alba leo hakua fiti bado jeraha linamsumbua alikua atoke n akuingizwa dogo marc barta-Hakukuwa na ulazima wa Sub ya kumtoa Neymar na kumuingiza Xavi.
-Iniesta alichoka mapema sana Match ya leo, huyu ndo alipaswa kutoka na kuingia Xavi, tena sio Xavi bali Rafinha.
-Rafinha bado ni kijana, angeweza kabisa kuenenda na ile presha ya Sevila.
-Totally nimeumia sana kupoteza hii Mechi.
-Mathie ni mzuri ila sio kumzid Javier Mascherano.ivo huyu mascherano ana tatizo gani kaumia au kuna kadi juu yake gem ya pili hiii hachezi yule kocha anakera utamtoaji neymar uingize xiavi na alba leo hakua fiti bado jeraha linamsumbua alikua atoke n akuingizwa dogo marc barta
Usiku mwema wapendwa yaani nimekasirika sana hata kuchambua soka lilikuwaje nashindwa, lakini ndo mambo ya mpira hayo tunasema ni dakika 90. Poleni Barca wenzangu.
Usiku mwema wapendwa yaani nimekasirika sana hata kuchambua soka lilikuwaje nashindwa, lakini ndo mambo ya mpira hayo tunasema ni dakika 90. Poleni Barca wenzangu.
Game ilikuwa ngumu hii, Sevilla si timu rahisi...
Ukiacha hii inayofuata nadhani itakuwa ya Valencia, game ngumu tena...
We gonna bounce back...
sevilla kweli ni wabaya ila tulishawapiga 2 .0 dakika ya 84 watu wanakuja kuchomoa kocha anakera bwanaGame ilikuwa ngumu hii, Sevilla si timu rahisi...
Ukiacha hii inayofuata nadhani itakuwa ya Valencia, game ngumu tena...
We gonna bounce back...
Madrid lazma afe
Hata atletico ni Madrid pia
-Ondoa Shaka Mkuu, Mario Mandzukic kapona na leo yupo uwanjani kama kawaida.Furaha yangu ni Atl Madrid amfunge Real Madrid 4-0 tena. Hivi kwani Torres ni cup tied ktk Champions League?
-Ondoa Shaka Mkuu, Mario Mandzukic kapona na leo yupo uwanjani kama kawaida.
-Madrid 4 anaweza akakaa kama kawaida endapo ataendelea kucheza mpira wake ule ule dhidi ya Atletico.
-Mimi niliota Real Madrid kapigwa 3-0 na huku mpira ukiendelea.
-Real Madrid asahau kuondoka na ushindi mechi ya leo.