hahahahahahahaha Simba kafungwaaaa!!!!????
Kweli soka mchezo wa ajabu sana dakika ya 94 heshima inagongelewa muhur wa moto
Messi bana huwa anafanya mambo kiuwepesi mno...
hahahahahahahahahahMessi bana huwa anafanya mambo kiuwepesi mno...
dua zangu hapa ni kuiombea real madrid ipoteze leo
Yup...kachezea 2 - 0
dua zangu hapa ni kuiombea real madrid ipoteze leo
Hadi sasa dk 52 inaongoza kwa goli 1
Daaaaaah
Wameongeza la pili sasa...
niliingia kule jukwaa la wapinzani wetu wameanza kunitukana eti nisiingie kule niende jukwaa la siasa kisa nimejibu maneno waliosema sasa nawaombea dua jumatano wayaage mashindano ua ucl