FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Jaman kamati ya maturubali niachien mm kwa kipind chote hiki cha msiba


Huu msiba ni mkubwa jaman tusiwaachie wenyeji tu
Shughurikia faster hayo maturubai wanasema marehemu alikua na mdomo sana watu wasije wakasusa msiba.

*Ila kwa kipigo hichi, mtu unaweza ukasahau jinsia yako kwa muda [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya ni matokeo mazuri sana kwetu barcelona...kwani ndio ufunguo wa kuingia katika ukarabati mkubwa wa kikosi,leo barca fans wote dunia nzima tumeyaona dhahiri yale mapungufu ya timu ambayo siku zote tumekua tukiyapigia kelele lkn kumekua hakuna hatua zozote zinazochukuliwa sasa final tumevuna tulichopanda
 
Kufuatia kipigo hiki kwangu mimi lawama za mwanzo nizipeleke kwa defence yetu,

Hivi kweli jamani walinzi wanashindwa kukaba?...mchezaji anamtoka kirahisi Semedo kwenye kona kibendera anashuka na mpira anawapita walinzi wengine kama wanne hivi....anampa pasi mwenzake aliyepo katikati ya goli akiwa peke yake anafunga bila kubugudhiwa na yeyote kweli??..kocha ndivyo alivyowafunza wasikabe?

Mchezaji wa bayern anakimbia na mpira kuelekea golini kwetu walinzi badala ya kumfuata na kufanya marking kwa wachezaji wengine wao wanakimbilia golini badala ya kukaa na watu!

Magoli mengi beki wametufungishabkwa style hii ya kutokaba!

Huu ukuta upasuliwe wote Shakira awe wa kwanza kubeba begi
 
Kumbe Chelsea hakufungwa kimakosa dah..

#CFC [emoji170][emoji170][emoji170]
 
Naomba moderator muufunge huu Uzi ad ligi kuu ya hispania ikianza tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…