PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,181
- 20,148
Hapa team inabidi ifanyiwe overhauling nimeumia sana
Haya sio maumivu, sema umedhalilika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa team inabidi ifanyiwe overhauling nimeumia sana
dah....mkuu uliona mbali sana wale wajerumani sio watu kabisa kwa misimu hii 12 ya UEFA ndo wanaongoza kutoa dozi nzito.Poleni sana kwa kutana na Yale mashetan ya german
Yanashambulia muda wote, sijui mtajificha wapi
Cha mhimu angalien msipigwe 7
Mwenyekiti tuna zika hapa au tuna safirisha?Jaman kamati ya maturubali niachien mm kwa kipind chote hiki cha msiba
Huu msiba ni mkubwa jaman tusiwaachie wenyeji tu
Messi ni mbuzi iliyopigwa bao 8.Unajichanganya sana Kwa kulinganisha individual achievement na Collective achievement
Tunapozungumzia performance kuna individual performance na Collective performance...
Hapa unapogusia makombe hayo ni Collective Performance.. Kuanzia mfagiaji hadi Uongozi wa juu...
Ndo maana Team ikishuka anayefukuzwa ni Kocha...
Kwanini Kocha?
Kwa sababu yeye ndiye Kiunganishi cha wote..
Yeye ndo mtendaji mkuu, anayesimamia shughuli za kila siku za kisoka...
Ukisema Messi kasababisha au anasababisha Team idrop una maana wachezaji wengne ni bora kumzidi.. na Messi kafail kutimiza majukumu yake (hachezi vizuri tena)
Hapa ungetuambia Mfungaji bora wa Barcelona ni Back (Pique, Lenglet au Semedo [emoji23][emoji23][emoji23])
Ungetuambia Messi amezidiwa hadi assists na Alba nk
Unasema Messi kashuka kwa kuangalia ufungaji magoal, wakati huo yeye ndo Mfungaji bora, sio Barça tu ila La Liga nzima...
Unasema Messi kashuka kiwango kwa kugusia Umri wake, maajabu sana .
Kuhusu umri Barcelona hawezi kufanya mabadiliko ya wakati mmoja kwa wakuwauza wachezaji, hapana mabadiliko yanakuwa ya taratibu,
Team kubwa kama Barcelona na Madrid hazifanyi mambo Kwa kubahatisha
Ndo maana Madrid akina Ramos, Modric bado wapo... Replacement infanyika taratibu...
Hivyo hivyo Kwa Barcelona...
Kwa Barcelona Messi ni zaidi ya mchezaji tumwonavyo..
Messi ni Nembo ya La Liga.. Hawezi kutoka kama tunavyodhani
Messi Hawezi kuuzwa, japo kweli itafika muda wa ukomo wa kucheza...
Messi ni MBUZI [emoji23][emoji23][emoji23] [emoji238]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sina mengi ,leo tutashinda tena magoli ya kutosha tu ,tunaenda kuisimamisha dunia ya mpira
Hakika Buyern Munich hawataamini tutakavyo wamiminia
Keep the spirit up ,tuna kikosi chenye experience na Buyern spaces zao kubwa kule nyuma lazima maji waite mmaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bayern ni Thiago
Thiago asipotembea Barcelona inashinda game kirahisi tu...
Ili Bayern icheze Thiago ndo mchezeshaji
Hawa akina Lewendoski sijui Glaby sijui nani ni Wakawaida sana mbele ya Barça [emoji23][emoji23][emoji23]
Timu Messi kule kwetu sijui wana hali gani. Sema tu hawapatikani. Wakatalunya mai futi [emoji16][emoji16][emoji16]Bayern Wanatinga Nusu Fainali KIBABE [emoji110] FT': Barcelona 2 - 8 Bayern München [emoji460]4' Müller [emoji460]7' Alaba (OG) [emoji460]22' Perisic [emoji460]28' Gnabry [emoji460]31' Müller [emoji460]57' Suarez [emoji460]63' Kimmich [emoji460]82' Lewandowski [emoji460]85' Coutinho [emoji460]89' Coutinho