Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Baada ya asenane kwa sasa tuna BASENANEHawa Bayern lazima wafe kibabe sana. Lenglet tunamuachia atembee na Lewandoski. Griezman iyo siku atupishe, tunawaweka Busquet, De Jong, Raktic na Sergi Roberto wakichafue Kati pale lazima Waite maji mma