FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Kwanini tusikubali tu hakuna wachezaji wa zuri kwa sasa na itatuchukua 5years kuwa tena timu tishio kama tutakua siriazi.
 
Hii UEFA kwa kweli waachane na kucheza mechi mbili kuanzia round ya 16. Inabidi waanzishe iwe inapigwa mechi moja neutral ground kuanzia round ya 16 ad fainali. Hapa ndipo bingwa wa ukweli atapatikana
 
Kwanini tusikubali tu hakuna wachezaji wa zuri kwa sasa na itatuchukua 5years kuwa tena timu tishio kama tutakua siriazi.

Messi sio mchezaji mzuri?
Suarez sio mchezaji mzuri?
Griezmann sio mchezaji mzuri?
Arturo Vidal sio mchezaji mzuri?
Semedo sio mchezaji mzuri?
Bosquet sio mchezaji mzuri?
Alba full back sio mchezaji mzuri?
 
Kuna wakati walikuwa wanasema Messi ni mtu kutoka sayari nyingine, najiuliza hiyo sayari aliyotokea bado ipo au ilipigwa na kimondo ikasambaratika?!
Tatizo sio messi ni defence....messi itachukua miongo mingi aje kutokea mtu wa mfano wake hapa duniani huo ndio ukweli...usimchukulie poa au eti kisa tu mechi ile timu imepoteza? Ingie youtube tazama kazi alizofanya messihata msimu huu tu alafu uone utamlinganisha na paka gani hapa duniani?
 
Kwenye mechi ya juzi alifunga ngapi??
 
Mti wenye matunda ndo hupigwa mawe,kwa consistency ya uwezo wa messi ni wazi kuwa watu wanasubirii akosee ndo wamkosoe (mijitu ya ronaldo) yaani kiufupi ni wivu tu kwakua huchukua mda mpk kuja kumkosoa!

ila kwa ile mechiii ni ngumu kumtegemea MTU mmoja abebe team!!
Binadamu aisee Cjui kwanini watu wanamchukia messi ili hali wanajua fika kua yeye ndiye the best ever
 


Blah blah blah blah blah. Mmepigwa nane.
 
Josep Bartomeu, Barça president, just confirmed to @tjcope that Quique Setién “has been sacked”. Ronald Koeman, Mauricio Pochettino and Xavi are in the list as next manager. [emoji838][emoji837] #FCB #Barcelona
 
Messi anatafuta mlango wa kutokea

Nitafurahiii Messi akiondoka barca,ni mchezaji mkubwa sana hawezi kudhalilishwa kiasi kile!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…