zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Huyu kiumbe akienda Man City atakuwa moto kwasababu mfumo wa Pep Guardiola anaujuaKIRIKUUU KASHAMWAGA MBOGAA NA UGALI HUKOOO
Njia nyeupe Man City Sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1548036
Arthur kasha sepa .couthin nae ni swala la mda tuTunahitaji kuondoa damu ya zamani Barca.
Tuondoe Pique, Busquets, Alba, Vidal, Suarez n.k
Tunaweza tukakaza moyo hata Messi kumruhusu aende ili tusuke timu mpya kabisa.
Kikubwa ni kuwa na uvumilivu.
Barca yenye damu changa na katikati akawepo Arthur Coutinho na De Jong ni moto mwingine.
Kwa hiyo mnafurahi?Kikundi cha wahunii Mesi anaondokaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwenzio anaenda tafuta penshenj at 33Tutabakia na Barca yetu japo bado tutakua timu Messi.....ila inasikitisha huenda ndio anaenda kujimaliza sasa,tofauti na kama angesalia kikosini
Nitafurahi kumuona messi at the CITY!Mwenzio anaenda tafuta penshenj at 33
Wewe unaona Kama bado Ni kinda
ITunahitaji kuondoa damu ya zamani Barca.
Tuondoe Pique, Busquets, Alba, Vidal, Suarez n.k
Tunaweza tukakaza moyo hata Messi kumruhusu aende ili tusuke timu mpya kabisa.
Kikubwa ni kuwa na uvumilivu.
Barca yenye damu changa na katikati akawepo Arthur Coutinho na De Jong ni moto mwingine.
Muanze kuimba kwayaa tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hiyo mnafurahi?
Arthur!?Tunahitaji kuondoa damu ya zamani Barca.
Tuondoe Pique, Busquets, Alba, Vidal, Suarez n.k
Tunaweza tukakaza moyo hata Messi kumruhusu aende ili tusuke timu mpya kabisa.
Kikubwa ni kuwa na uvumilivu.
Barca yenye damu changa na katikati akawepo Arthur Coutinho na De Jong ni moto mwingine.
😂😂😂😂Tutabakia na Barca yetu japo bado tutakua timu Messi.....ila inasikitisha huenda ndio anaenda kujimaliza sasa,tofauti na kama angesalia kikosini
Pamoja na umri huo mbona bado anasumbua?mchezaji anaeongoza kwa assist huo uzee weka pembeni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unamzungumzia Messi kama vile ni mchezaji ambaye yupo katika peak yake, Messi kwa sasa ana miaka 33 ndugu.
Muache mzee wa watu akamalizie soka lake mbele kwa mbele.
Messi anaenda Man City naona jinsi tu mfumo wa Guardiola utakavyomfaaPamoja na umri huo mbona bado anasumbua?mchezaji anaeongoza kwa assist huo uzee weka pembeni
Simaanishi kiwango cha Messi kimeshuka sana, ila ninamaanisha hata kama Messi akihama na kwenda kuflop huko atakapoenda haiwezi kuwa habari ya kushangaza, kwa umri wake haitoshangaza kama atakujakushuka kiwango popote atakapoenda, pia hayupo tena kwenye peak yake, kwahiyo kushuka kiwango ni kitu kinachotegemewa, ni suala la muda tu.Pamoja na umri huo mbona bado anasumbua?mchezaji anaeongoza kwa assist huo uzee weka pembeni
Mafans wa mpira Kama kuna kitu ambacho kitatuhunisha ni kuona Messi akiacha kucheza soka.Simaanishi kiwango cha Messi kimeshuka sana, ila ninamaanisha hata kama Messi akihama na kwenda kuflop huko atakapoenda haiwezi kuwa habari ya kushangaza, kwa umri wake haitoshangaza kama atakujakushuka kiwango popote atakapoenda, pia hayupo tena kwenye peak yake, kwahiyo kushuka kiwango ni kitu kinachotegemewa, ni suala la muda tu.
Simaanishi kiwango cha Messi kimeshuka sana, ila ninamaanisha hata kama Messi akihama na kwenda kuflop huko atakapoenda haiwezi kuwa habari ya kushangaza, kwa umri wake haitoshangaza kama atakujakushuka kiwango popote atakapoenda, pia hayupo tena kwenye peak yake, kwahiyo kushuka kiwango ni kitu kinachotegemewa, ni suala la muda tu.