FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

My opinion :Messi hataondoka Barcelona kilichofanyika kiwe funzo kwa board ya Barcelona

Ukweli ni kwamba Messi ndio anaijua Sana Barcelona kushinda hata sisi washabiki ,na yeye ameelekezwa mikuki mingi kwa kuilinda Barca ikifika point anasusia ujue Kuna jambo kubwa linakua limetokea

Bartomeo Kama Rais amemdanganya Sana MESSI kuhusu kuunda team yenye ushindani kiasi kwamba the God of football lazima ahisi kuwa kipaji chake kinapotezwa bure ,katika mazingira Kama hayo hamna mtu angependa kukaa
In short board ya Barcelona inaoinyesha incompetency na kutojitosheleza kwenye enzi za modern football angalia jinsi wanavyofanya usajili (recently wamemuuza mchezaji kwenye miaka 23 na kumnunua miaka 32)

Pamoja na kuondolewa kwenye UEFA champions league katika mazingira ambayo yanaonyesha ubovu wa team ,+goli 4 Roma,Goli 4 na liverpool ,Copa de ley na Valencia ,Board na rais wake wala hawakustuka team kama hii ukiwa mzalendo wa kweli lazima utangaze kuondoka ,haiwezekani team inatoka kwenye ramani ya team bora ukasimama kimya


All in all kilichotea sisi Kama mashabiki wa Barca (cules) wa damu ,sisi sio plastic fans ,we are hardcore loyal fans we stand with the team in beautiful and difficulty situation


Tuirudishe Barca yetu tuchukue Laliga na UEFA ikiwezekana tremble
Messi adumu milele maana yeye ndio barcalona na Barcelona ni yeye washabiki wa Barcelona waseme Amen.
 
Nasikia tunaenda kufanya attempt kubwa nyingine kumchukua Lautaro Martinez... Inaelezwa yeye ndiye anabaki kipaumbele chetu nambari moja.... Ila kwanza naona wanataka kujua Suarez anaondokaje ondokaje then mipango iendelee..... Mbona tutakua watamu tu
 
Nasikia tunaenda kufanya attempt kubwa nyingine kumchukua Lautaro Martinez... Inaelezwa yeye ndiye anabaki kipaumbele chetu nambari moja.... Ila kwanza naona wanataka kujua Suarez anaondokaje ondokaje then mipango iendelee..... Mbona tutakua watamu tu
Bila kusajili defenders angalau wawili wenye akili, tutaendelea kudhalilika sana. Defense ya Pique na Lenglet haitufai chochote hata tukiwa na Leonel Messi wawili kule mbele!

Kila adui akija kwetu anatupia, muda wa kushambulia tutautoa wapi?
 
Phillipe coutinho rasmi tunaye tena,Miralem Pjanic Huyu kiungo aliyekuja kwa kubadilishana na Arthur nae fresh,
Tusubirie akina Lautaro na Depay..japo kocha wa Lyon anasema Memphis keshachelewa kama kuondoka angeondoka august sasa wacha tusubirie ninani tutampata
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Kuna mipango ya kumvuta beki ya kulia toka arsenal Hector bellerin kuja Ku cover nafasi ya semedo pia
Kuna mawazo ya kumfanya Ansu acheze No 9 pale kati maana kwa sasa namba hiyo IPO empty,.. Kocha anatumaini na imani kubwa na ndg yake depay kuwa atafiti sana kati lkn bado Lyon hawajamwachia,kwa Mimi naona acha Ansu asimanishwe kati pale tumkomaze,kaonyesha kiwango kizuri timu ya taiga hivi majuzi
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Sasa kama hadi leo unashabikia Barcelona unatofauti gani na maiti
Aisee kwahiyo kwa tafsiri yako na akiri yako mashabiki wa Barca ni maiti? Mpaka hapa sina haja ya kuendelea kujibizana na mtu mfu kama wewe, enyoj your day
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Aisee kwahiyo kwa tafsiri yako na akiri yako mashabiki wa Barca ni maiti? Mpaka hapa sina haja ya kuendelea kujibizana na mtu mfu kama wewe, enyoj your day
Sasa mna timu nyie barca mbona hamtaki kukubali ukweli
 
Back
Top Bottom