FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]barcenyeto wamekimbia uzi
Tangu upigwe nne na man city kazi yako imekuwa kubadilisha majina na kujipitishapitisha kwa wanaume huku unakitingisha.
 
Usajili vipi mazee? Tunamchukua nani?

Nimeona Xavi anasema anahitaji vijana watatu, akiwemo midfielder wa nguvu.. Namtamani sana Bernado Silva
 
Usajili vipi mazee? Tunamchukua nani?

Nimeona Xavi anasema anahitaji vijana watatu, akiwemo midfielder wa nguvu.. Namtamani sana Bernado Silva
Baada ya Messi saga,Priority kwa Sasa ni ;
√ Defensive Midifilder
√Attacking Midfielder
√ Striker
√Right back

Nafasi ya DM( Xavi anamtaka Zubimendi au Kimmich( Dili ngumu sana hizi) ngoja tusubiri.)
Attacking Midfielder( Xavi anamtaka Gundogan for free( Uamuzi upo kwa Gundo mwenyewe)

Striker ( inasemekana dogo kutoka palmeiras Vitor roque).
 
Palikua na tetesi za Bernado Silva hivi karibuni. Nadhani City wamuwekea ngumu kusepa. Tumgempata yule kijana, ingekua hatari sana kwa wapinzani.
 
Palikua na tetesi za Bernado Silva hivi karibuni. Nadhani City wamuwekea ngumu kusepa. Tumgempata yule kijana, ingekua hatari sana kwa wapinzani.
Bernado silva kumpata kwa sasa ni ngumu Bado La liga FFP inatubana sana ,Gundogan ndio tunaweza kumpata kwa free kama ataamua kuja.
 
Nyie vitungu,, zama zenu zinaenda mwisho, subilini vipigo tu msimu hu na wale wazee wenu
 
Nyie vitungu,, zama zenu zinaenda mwisho, subilini vipigo tu msimu hu na wale wazee wenu
Gavi mzee, Pedri mzee, Fati mzee, Ferran mzee, Araujo mzee, Dest mzee, Dembele mzee, Kounde mzee, Balde mzee, De Jong mzee.

Vijana ukiwa nao wewe inatosha. Kama huamini, leta team yako msimu huu!
 
Mtani amekula kipigo kizito hapo Marekani. Hatunaga mechi ya kirafiki na Madrid!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…