Isayalussy11
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 695
- 1,058
Kuna mchezaji wa ku doubt ila sio Gundogan mkuu labda fafanua hapa. Gundogan anaongeza quality na experience kwa middle za Barca.Nina wasiwasi na gundogan
Huyu nje ya Pep sidhani km ata deliver
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mchezaji wa ku doubt ila sio Gundogan mkuu labda fafanua hapa. Gundogan anaongeza quality na experience kwa middle za Barca.Nina wasiwasi na gundogan
Huyu nje ya Pep sidhani km ata deliver
Jibu Zuri hiliGavi mzee, Pedri mzee, Fati mzee, Ferran mzee, Araujo mzee, Dest mzee, Dembele mzee, Kounde mzee, Balde mzee, De Jong mzee.
Vijana ukiwa nao wewe inatosha. Kama huamini, leta team yako msimu huu!
Share yetu kwenye hiyo 50M ni ndogo sana ndo maana Barca wanasita kufanya negotiations so sidhani kama itatosha kumpata Silva na City walishaeka ngumu kumuuza.Naona Dembele kawakubalia PSG, hiyo 50M tumalizane na City watupatie Bernado Silva.
Kwanini share iwe ndogo? Maana nimeona hiyo 50M ni release clause.Share yetu kwenye hiyo 50M ni ndogo sana ndo maana Barca wanasita kufanya negotiations so sidhani kama itatosha kumpata Silva na City walishaeka ngumu kumuuza.
Wewe tunakuvua underwear anywhere. Wala hausumbui!Nyie barcenyeto mmetufunga friendly match
Tutakutana kwenye ligi kenge nyie
Halla Madrid 🤍🤍
Sikuizi Barca kumfunga Madrid sio habari tena Babu Carlo kashakua teja kwa Xavi.Labda aondoke aje kocha mwingineNyie barcenyeto mmetufunga friendly match
Tutakutana kwenye ligi kenge nyie
Halla Madrid 🤍🤍
Bernado (Complicated deal) ,City bado wanamtaka!,Cancelo tunaweza kumpata City wanaweza kumuachia.Naona focus Kwa sasa ni RB Kuna Cancelo na Ivan Fresneda,Cancelo mzuri ku attack na huyu dogo mzuri ku defend, kazi kwetu.Tunamchukua Cancelo, then tunamalizia kwa Bernado Silva. Naona Dembele ameamua kufanya madudu kama ya Neymar!
Anyway, acha tuchukue pesa!
Uzuri ni kwamba, Bernado anaitaka Barca na Barca inamtaka Bernado. City huwa hawana noma na sisi. Laporta anaweza kufanya namna.Bernado (Complicated deal) ,City bado wanamtaka!,Cancelo tunaweza kumpata City wanaweza kumuachia.Naona focus Kwa sasa ni RB Kuna Cancelo na Ivan Fresneda,Cancelo mzuri ku attack na huyu dogo mzuri ku defend, kazi kwetu.
Shida iliyopo ni pesa mkuu,inavyosemekana katika Dili la Dembele Barca watapata €25M tu kama akiuzwa kwa release clause yake ya €50M ,pesa ambayo hatuwezi kumpata Bernado!,labda tungefanya sale ya €70M+ huko na City hawawezi kumuuza kwa bei ya kawaida.Ndio maana kwa sasa priority ni kumpata RB Cancelo/Fresneda kwa pesa itakayopatikana kwa DembeleUzuri ni kwamba, Bernado anaitaka Barca na Barca inamtaka Bernado. City huwa hawana noma na sisi. Laporta anaweza kufanya namna.
Pale City naona kama Pep anafanya reshuffling, anaweka watu wapya. Ndio maana hata akina Mahrez wametimka. Sitashangaa kama wakituachia Silva.
Anyway, natamani sana hii deal itiki. Tukimpata Cancelo na Silva tutakua kamili kumkabili yeyote na popote bila kujali chochote!
Mkuu, dau la 50M ilikua ni release clause ambayo imesha-expire tangia juzi. Kwahiyo sasa hivi zinafanyika negotiations kati ya Barca na PSG, sio habari ya release clause tena!Shida iliyopo ni pesa mkuu,inavyosemekana katika Dili la Dembele Barca watapata €25M tu kama akiuzwa kwa release clause yake ya €50M ,pesa ambayo hatuwezi kumpata Bernado!,labda tungefanya sale ya €70M+ huko na City hawawezi kumuuza kwa bei ya kawaida.Ndio maana kwa sasa priority ni kumpata RB Cancelo/Fresneda kwa pesa itakayopatikana kwa Dembele
Kuna mahali nilisoma kwamba kulikiwa na kipengele cha private clause sijui na kwamba PSG watalipa ile ile €50M hata kama ime expire.But anyway kama negotiations zikifanyika tukipata angalau €50M sio mbaya ila sidhani kama PSG wananaeza fika mpaka €70M+ huko.Mkuu, dau la 50M ilikua ni release clause ambayo imesha-expire tangia juzi. Kwahiyo sasa hivi zinafanyika negotiations kati ya Barca na PSG, sio habari ya release clause tena!
Barca wanataka €100M. PSG bado wanajishauri. Na katika hii 100M, kama wakiilipa, basi Barca wanachukua full ammount. Ndio maana mimi hata sijasikitika kihivyo Dembele kuondoka.
Si umeona mkuu sisi tunapata € 25M tu hapa!.Mkuu, dau la 50M ilikua ni release clause ambayo imesha-expire tangia juzi. Kwahiyo sasa hivi zinafanyika negotiations kati ya Barca na PSG, sio habari ya release clause tena!
Barca wanataka €100M. PSG bado wanajishauri. Na katika hii 100M, kama wakiilipa, basi Barca wanachukua full ammount. Ndio maana mimi hata sijasikitika kihivyo Dembele kuondoka.
Huyu Dembele hamna kitu kabisa Jana alikuwa anaboronga mpaka anatia aibuSi umeona mkuu sisi tunapata € 25M tu hapa!.View attachment 2707345