Pole sana! Tukikutana tena itakuwa super match. Maana hakuna matumizi ya nguvu tena kama dhidi ya Real Madrid.Mkuu hii gemu ndio ilinifanya niichukie liverpool hadi leo, nakumbuka nilikuwa chuo Informatics Udom tena kipindi cha UE aisee hii gemu ilinikata mood kabisa hata ya kusoma, tokea siku hiyo sijawahi ikubali liverpool
Pole sana! Tukikutana tena itakuwa super match. Maana hakuna matumizi ya nguvu tena kama dhidi ya Real Madrid.Mkuu hii gemu ndio ilinifanya niichukie liverpool hadi leo, nakumbuka nilikuwa chuo Informatics Udom tena kipindi cha UE aisee hii gemu ilinikata mood kabisa hata ya kusoma, tokea siku hiyo sijawahi ikubali liverpool
Pole sana! Tukikutana tena itakuwa super match. Maana hakuna matumizi ya nguvu tena kama dhidi ya Real Madrid.Mkuu hii gemu ndio ilinifanya niichukie liverpool hadi leo, nakumbuka nilikuwa chuo Informatics Udom tena kipindi cha UE aisee hii gemu ilinikata mood kabisa hata ya kusoma, tokea siku hiyo sijawahi ikubali liverpool
Bila kumsahau the next Iniesta Marc Casado.Dani Olmo, yamine Yamaal, Pedri Hawa jamaa wanavutia sana kuwatizama
Barca hii inanikumbusha ile Prime Barca ya Xavi Messi na Iniesta.Dahh hili li timu linavutia asee, i like pedri a lot.
Pale kati midfields wanafaa wakae Casado Pedri na Olmo kama AMFBila kumsahau the next Iniesta Marc Casado.
Hii Barca imesheeni watoto wenye vipaji wanajua mpaka wanakela.
Hii timu itasumbua sana Ulaya.
Pedri anampira fulani hivi rahis sana unlike Gavi jamaa yuko very aggressive ni bora awe anaanzia benchi kutuepusha na kadiDahh hili li timu linavutia asee, i like pedri a lot.
Ni kweli Gavi yuko aggressive sana.Pedri anampira fulani hivi rahis sana unlike Gavi jamaa yuko very aggressive ni bora awe anaanzia benchi kutuepusha na kadi