FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Jamani naomba kueleweshwa nini kimemfanya huyu jamaa wa A.B amuwakie hivyo Neymar?
 
Tushaweka kibindoni hii ndoo kwa mara ya 27 sasa (rekodi)...

Sasa tusubirie CL, Juve wakiwa wamebeba kombe la Seria A na Copa Italia na Barca wakiwa na ndoo ya La Liga na Copa Del Rey...
 
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Barcaaaaaaaa!!!!!!!!!! Sasa tumebakiza CL........
 
Sasa ngoma inogile Juve wana ndoo zao mbili na sisi ndoo zetu mbili ndoo ya 3 ni nani????
 
Hawa mashabiki wa Athletico Bilbao ni nomaa yaani nimewapenda bure.....
 
Jamani naomba kueleweshwa nini kimemfanya huyu jamaa wa A.B amuwakie hivyo Neymar?
baada ya neymar kumpiga darizi aliona aibu ndio akamsukuma neymar nae neymar kama unavyo mjua kuguswa tu kajiangusha sasa yule jamaa kilichimkera ni yule neymar kujiangusha ndio akaanza kumfyokea neymar
 
xavi na iniesta ndio wameenda kulinyanyua kombe fantastic visca barca
 
Hongera sana Enrique tunakushukuru kwa mchango wako mkubwa.......
 
neymar na iniesta ndio wameenda kulinyanyua kombe fantastic visca barca

Xavi na Iniesta mkuu...

Neymar na wengine wapo kwenye pitch wanasubiri jamaa washuke nalo...
 
hapo sawa tushachukua ndoo ya pili zimebaki 5 kati ya saba ASANTE MUNGU VISCA EL BARCA
 
wiki tatu wanachukua makombe matatu. naona mashabiki wa bilbao wameshangilia kwenda uropa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…