FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Attachments

  • untitled.jpg
    untitled.jpg
    9.9 KB · Views: 76
Kwa mara nyingine tena dunia inakwenda kusimama kwa dakika zisizopungua tisini ili kuishuhudia barcelona ikichukua kombe lake pale berlin..... Hakika ni bahati iliyoje kwetu sote kuushuhudia utatu huu mtakatifu ambao haujapata kutokea tangu kuumbwa kwa ulimwengu huu. Hakika tumepata cha kuwasimulia wajukuu zetu, tutawaambia, "hapo zamani walikuwepo vijana watatu wakiitwa messi, suarez na neymer, wajukuu zangu, vijana hawa walibarikiwa kuliko kawaida, walichezea mpira kwa jinsi walitaka wao, walaifunga magoli kwa namna walivyotaka wao. Wajukuu zangu, vijana hawa wataendelea kukumbukwa kwa kile walichokifanya mnamo tarehe 6 mwezi wa 6 mwaka 2015. Siku hiyo walikuwa walicheza na timu moja nimeisahau jina sababu haikuwahi kuwa bora.... basi hiyo timu ilipigwa goli tatu za kitaalamu sana"
 
Kwa mara nyingine tena dunia inakwenda kusimama kwa dakika zisizopungua tisini ili kuishuhudia barcelona ikichukua kombe lake pale berlin..... Hakika ni bahati iliyoje kwetu sote kuushuhudia utatu huu mtakatifu ambao haujapata kutokea tangu kuumbwa kwa ulimwengu huu. Hakika tumepata cha kuwasimulia wajukuu zetu, tutawaambia, "hapo zamani walikuwepo vijana watatu wakiitwa messi, suarez na neymer, wajukuu zangu, vijana hawa walibarikiwa kuliko kawaida, walichezea mpira kwa jinsi walitaka wao, walaifunga magoli kwa namna walivyotaka wao. Wajukuu zangu, vijana hawa wataendelea kukumbukwa kwa kile walichokifanya mnamo tarehe 6 mwezi wa 6 mwaka 2015. Siku hiyo walikuwa walicheza na timu moja nimeisahau jina sababu haikuwahi kuwa bora.... basi hiyo timu ilipigwa goli tatu za kitaalamu sana"
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha@frank wanjiru Gang Chomba
 
Last edited by a moderator:
ukisikia pumba ndio hizi tupe mechi moja ambayo barca kabebwa na refa tayari mshaanza vijisibabu visivyo eleweka
na bado neno moja hamjasema [uefalona] watu wengine bwana barca akishindwa timu lao lemefulia akishinda uefalona au amebebwa hebu jifunzeni kukubali pale mnapo shindwa

Hahahaha!!! Kulikoni Aleyn na Chebi yaani mwali anawachanganya mpaka ndugu mnataka kugombana?
chebi ulimuelewa vibaya Aleyn nadhani haukumsoma kwamba ndiye yeye unayemquote, jibu hilo lilikuwa ni kwa Gang chomba.
 
Last edited by a moderator:
Kwa mara nyingine tena dunia inakwenda kusimama kwa dakika zisizopungua tisini ili kuishuhudia barcelona ikichukua kombe lake pale berlin..... Hakika ni bahati iliyoje kwetu sote kuushuhudia utatu huu mtakatifu ambao haujapata kutokea tangu kuumbwa kwa ulimwengu huu. Hakika tumepata cha kuwasimulia wajukuu zetu, tutawaambia, "hapo zamani walikuwepo vijana watatu wakiitwa messi, suarez na neymer, wajukuu zangu, vijana hawa walibarikiwa kuliko kawaida, walichezea mpira kwa jinsi walitaka wao, walaifunga magoli kwa namna walivyotaka wao. Wajukuu zangu, vijana hawa wataendelea kukumbukwa kwa kile walichokifanya mnamo tarehe 6 mwezi wa 6 mwaka 2015. Siku hiyo walikuwa walicheza na timu moja nimeisahau jina sababu haikuwahi kuwa bora.... basi hiyo timu ilipigwa goli tatu za kitaalamu sana"

Ahahahahahahahaha!!!
 
Wazee wa kuweka mzigo nawaonea huruma wanavyopotea

mbet leo iko hv ukiweka elf 10 barca win unapata 15000 ila ukiweka juve win ukaweka hyohyo elf 10 unapata 50000 sasa wale sio wajinga
 
mbet leo iko hv ukiweka elf 10 barca win unapata 15000 ila ukiweka juve win ukaweka hyohyo elf 10 unapata 50000 sasa wale sio wajinga

Hahahaaaaa shauri zako..... zitabanwa adi juve ashindeee
 
Wanaosubiri maajabu, maajabu pekee watakayoyaona ni messi kufunga goli zuri na kuweka rekodi nyingine.
 
MSN habari ya dunia
 

Attachments

  • 1433606160099.jpg
    1433606160099.jpg
    6.6 KB · Views: 99
Back
Top Bottom