Hahaaa....kama ulikua pub nadhani bado hujatoka mpaka muda huu unaendelea kushangilia.
LOL! Uliminya nanihii 🙂🙂 niliangalia dakika 30 za kwanza tu nilikuwa na family commitments zilizosababisha nishindwe kuangalia mechi yote ila kwa kutotaka kumiss uchawi wa Messi nimeirekodi mechi yote nitaangalia baadaye leo. Nilitaka sana Juventus washinde si unajua tena mambo ya kushabikia underdog. Hongera kwa ushindi wa mchepuko wako ila Juventus wamewatoa kamasi nyembamba.
NB: Kama ningekuwa naangalia ningeminya ili BARCA wakose.
muhimu wasi umie tu mkuu muda wa hayo mashendano ni mwezi mmoja tu kutoka tarehe 11 jun hadi 4 july. haina shida muhimu wasije kuvunjikaTukiwa tyar tushaweka kibindoni makombe matatu na tukibakiza mengine ma4 ili yawe jumla ya 7 sema hofu yangu katika hawa MSN na Dani alves Bravo pamoja na Mascherano wanaweza wasiwe vzur sana kwa mwakani au msimu utakaoanza kutokana na kutopumzika kabsa hata mwez tofaut na wachezaji wengine duniani
muhimu wasi umie tu mkuu muda wa hayo mashendano ni mwezi mmoja tu kutoka tarehe 11 jun hadi 4 july. haina shida muhimu wasije kuvunjika
Breakiiiiiiiiiing News BARCELONA IMEFANIKIWA KUMSAJILI MCHEZAJI WA SEVILA ALEIX VIDAL KWA MKATABA WA MIAKA MI5 HADI 2020 hata hvyo winga huyo ataanza itumikia barcelona mwaka 2016 kutokana na matatzo yetu ya kufungiwa
atakuwa anaichezea sevila had hapo january atakapojiunga rasmi na barcelonaKwaiyo huyo mchezaji na kakubali asichezee miezi 6 au hatakuwa bado anaichezea sevilla kwaiyo miezi 6 :what:
Dani Alves came from Sevilla 2008/2009
Barca won CL 2008/2009
Adriano came from Sevilla 2010/2011
Barca won CL 2010/2011
Rakitic came from Sevilla 2014/2015
Barca won CL 2014/2015
Vidal came from Sevilla 2015/2016
If you know what i mean