PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,106
- 14,353
Hahaaa....kama ulikua pub nadhani bado hujatoka mpaka muda huu unaendelea kushangilia.
jana nimelala saa 10 yani.juve walivyosawazisha lile goli nikavunjiwa tachi yangu na nikamwagiwa maji maji ya kuoshea glas za bia ila shukrani ziwafikie msn kwa kunifanya nionekane mtu tena mbabe