FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha.na asiguse tena huku heaven aishi huko huko in the hell

Aendelee kuishi hukohuko kwa waishi kwa matumaini, yaani hata arsenal wazee wa stress wanawashinda!!(naombea wasione hapa nitatokaje baruuu)
 
Aendelee kuishi hukohuko kwa waishi kwa matumaini, yaani hata arsenal wazee wa stress wanawashinda!!(naombea wasione hapa nitatokaje baruuu)
ha ha ha ha ha ha habha ha usiogope mamaa wewe waseme tu wakibisha tunawapa fact za uhakika
 
ha ha ha ha ha ha habha ha usiogope mamaa wewe waseme tu wakibisha tunawapa fact za uhakika

Wakiniparamia tu nitakuwa nakuita mwl wangu uwape facts mie nashindiliamo na madongo tu!
 
Huyo cute b maneno.mengii mpira wenyewe hajui sasa asikutishe
Nani hajui mpira? Utachekwa wewe........
Wakiniparamia tu nitakuwa nakuita mwl wangu uwape facts mie nashindiliamo na madongo tu!
atoto kitu mlichokifanya kwa dogo langu cute b siyo kizuri nimewaheshimu na ninawasamehe kwa sababu hapa pia nimewekezamo,kamchepuko kangu Barca nakapenda penda ila kina PNC watanifanya nikapige chini wanachonga sana, kalikuwa kamefika viwango vya juu kabisa......lol
 
Last edited by a moderator:
Nani hajui mpira? Utachekwa wewe........
atoto kitu mlichokifanya kwa dogo langu cute b siyo kizuri nimewaheshimu na ninawasamehe kwa sababu hapa pia nimewekezamo,kamchepuko kangu Barca nakapenda penda ila kina PNC watanifanya nikapige chini wanachonga sana, kalikuwa kamefika viwango vya juu kabisa......lol

everlenk huku hatukutak kwanza unatuaibisha unavyoiita barca mchepuko.wako hapa tupo na atoto wewe huna jpyaaaaa rud huko huko man u.na juventus
 
Last edited by a moderator:
everlenk huku hatukutak kwanza unatuaibisha unavyoiita barca mchepuko.wako hapa tupo na atoto wewe huna jpyaaaaa rud huko huko man u.na juventus

Hahahahahahaha!!! Kipya kinyemi siyo....... Huyu atoto mwenyewe kama nanga inapaa saa yoyote atawasaliti,Barca nampenda siku zote ataendelea kuwa mbadala wa Man U.
 
Last edited by a moderator:
Nani hajui mpira? Utachekwa wewe........
atoto kitu mlichokifanya kwa dogo langu cute b siyo kizuri nimewaheshimu na ninawasamehe kwa sababu hapa pia nimewekezamo,kamchepuko kangu Barca nakapenda penda ila kina PNC watanifanya nikapige chini wanachonga sana, kalikuwa kamefika viwango vya juu kabisa......lol

Ukiipiga chini Barca nitafurahi vibaya sana.
 
Last edited by a moderator:
everlenk huku hatukutak kwanza unatuaibisha unavyoiita barca mchepuko.wako hapa tupo na atoto wewe huna jpyaaaaa rud huko huko man u.na juventus
Ahsanteeeeeee saaaaaana PNC 1, nishakupa LIKE Mkuu. Heshima kwako Kaka.
 
Last edited by a moderator:
Hapigwi mtu chini Barca atabaki kuwa mchepuko.......sasahivi mmekuwa watu wa fitina sana tutakwenda sawa tu....

Ahahahahahaha everlenk huwezi amini umenichekesha vibaya saaaaaaana, eti tumekuwa watu wa fitina.
 
Last edited by a moderator:
Ahsanteeeeeee saaaaaana PNC 1, nishakupa LIKE Mkuu. Heshima kwako Kaka.

Na tarehe 25.7 wapenzi Wangu wote wanakutana Duh!! Hapo patamu!! Japo kirafiki lakini itakuwa mechi tamu sana...
 
Last edited by a moderator:
Nani hajui mpira? Utachekwa wewe........
atoto kitu mlichokifanya kwa dogo langu cute b siyo kizuri nimewaheshimu na ninawasamehe kwa sababu hapa pia nimewekezamo,kamchepuko kangu Barca nakapenda penda ila kina PNC watanifanya nikapige chini wanachonga sana, kalikuwa kamefika viwango vya juu kabisa......lol
Ow bora umekuja my sis lol jana nusu waniue kumbe wana vinyongo na mimi so siku zote wananitegea rada jana wakanipata adi nikaona jf chungu.
Hahahaaaa atlist now napumua....
 
Last edited by a moderator:
Ow bora umekuja my sis lol jana nusu waniue kumbe wana vinyongo na mimi so siku zote wananitegea rada jana wakanipata adi nikaona jf chungu.
Hahahaaaa atlist now napumua....

muda wowote nitakuja jukwaa lenu la Man U kuwasalimu.
 
Hapigwi mtu chini Barca atabaki kuwa mchepuko.......sasahivi mmekuwa watu wa fitina sana tutakwenda sawa tu....

mara umwache barca mara hapigwi mtu barca nilichokigundua umepatwa na ugonjwa wa ferguson ule wa kutetemeka
 
Ow bora umekuja my sis lol jana nusu waniue kumbe wana vinyongo na mimi so siku zote wananitegea rada jana wakanipata adi nikaona jf chungu.
Hahahaaaa atlist now napumua....
hakuna kupumua wewe ngoja atoto aje akutimue mbio
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom