tukiendaga kule everlenk anakuwa mbogoo
huyu si shabiki wa Man U harafu alivyo mnafiki anawapenda Barca.
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tukiendaga kule everlenk anakuwa mbogoo
huyu si shabiki wa Man U harafu alivyo mnafiki anawapenda Barca.
muda wowote nitakuja jukwaa lenu la Man U kuwasalimu.
mara umwache barca mara hapigwi mtu barca nilichokigundua umepatwa na ugonjwa wa ferguson ule wa kutetemeka
huyu si shabiki wa Man U harafu alivyo mnafiki anawapenda Barca.
hata mie namshangaa kaka
muda wowote nitakuja jukwaa lenu la Man U kuwasalimu.
Kwani moyo umekatazwa kupenda tena ?......Mpira huu siyo sheria ya Tanzania kwamba sitakiwi kuwa na uraia wa nchi mbili....
Hawa juzi di maria alimsaliti messi akajidai kapata ajali adi chile akafungwa alafu hao wawili ni team mesi ndo maana wana hasira na man u hahahaaaaaaaaaa
Di maria alijua ata akifunga history itabaki kwa mesi.
#qeenmessi
Hahaha!!! Dogo una maombi weye!! Di Maria akajionea itakuwa tabu ngoja ajilengeshe hahahahaha.....Chile ndo alifunga mumy rekebisha hapo....halafu siku hiyo nilivyokuwa namtetea Messi acha kabisa !!!
Shauri yenu mkija Mimi kule ntakuwa siwajui kabisa na nitawapigaje Maweeee!!!!
yule di maria anautapiamlo ndio mana kila.mara injuryHawa juzi di maria alimsaliti messi akajidai kapata ajali adi chile akafungwa alafu hao wawili ni team mesi ndo maana wana hasira na man u hahahaaaaaaaaaa
Di maria alijua ata akifunga history itabaki kwa mesi.
#qeenmessi
ndio jiangalie jinsi gani ulivyokuwa msaliti unachat na mtu anayemuita messi queenHahaha!!! Dogo una maombi weye!! Di Maria akajionea itakuwa tabu ngoja ajilengeshe hahahahaha.....Chile ndo alifunga mumy rekebisha hapo....halafu siku hiyo nilivyokuwa namtetea Messi acha kabisa !!!
hv ni.mpira upi unaouangalia ni lini di maria kafunga tatu copa americaDi maria alisema hafanyi upuuzi maana mechi ya mwisho kabla ya fainal alifunga tatu lakini hawakumng'arisha historia ilibaki kwa mesi kuwa ndo alitoa pasi.
Can you imagine wew ndo umefunga lakini husifiwi anasifiwa aliyekupa pasi? Je ungeicheua iyo pasi?
Sasa di maria akasema ngoja aone na lawama baada ya kufungwa zingebaki kwa nani....
Chile walimfunga queen mesi.
Hatareeeeee
cute b alinijia na mbwembwe za kunidolishia chupi mpya nikamtoa baru, hivi na wewe upo kule kwa mashetani wekundu? Pole sana mama.Nani hajui mpira? Utachekwa wewe........
atoto kitu mlichokifanya kwa dogo langu cute b siyo kizuri nimewaheshimu na ninawasamehe kwa sababu hapa pia nimewekezamo,kamchepuko kangu Barca nakapenda penda ila kina PNC watanifanya nikapige chini wanachonga sana, kalikuwa kamefika viwango vya juu kabisa......lol
Na tarehe 25.7 wapenzi Wangu wote wanakutana Duh!! Hapo patamu!! Japo kirafiki lakini itakuwa mechi tamu sana...
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha mpe huyoooooooHiyo siku kipenzi cha roho yako Barca anampakata live mchepuko wako manu, jiandae kumpiga kibuti mchepuko ubaki huku kwenye sherehe kila siku, achana na zile stress mpendwa.
Huyo wala sina haja ya kumtimua mbio, ashajitimua mwenyewe.
na kweli washakuachia jukwaa mama barcelona