ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha.na asiguse tena huku heaven aishi huko huko in the hell
ha ha ha ha ha ha habha ha usiogope mamaa wewe waseme tu wakibisha tunawapa fact za uhakikaAendelee kuishi hukohuko kwa waishi kwa matumaini, yaani hata arsenal wazee wa stress wanawashinda!!(naombea wasione hapa nitatokaje baruuu)
ha ha ha ha ha ha habha ha usiogope mamaa wewe waseme tu wakibisha tunawapa fact za uhakika
Wakiniparamia tu nitakuwa nakuita mwl wangu uwape facts mie nashindiliamo na madongo tu!
Nani hajui mpira? Utachekwa wewe........Huyo cute b maneno.mengii mpira wenyewe hajui sasa asikutishe
atoto kitu mlichokifanya kwa dogo langu cute b siyo kizuri nimewaheshimu na ninawasamehe kwa sababu hapa pia nimewekezamo,kamchepuko kangu Barca nakapenda penda ila kina PNC watanifanya nikapige chini wanachonga sana, kalikuwa kamefika viwango vya juu kabisa......lolWakiniparamia tu nitakuwa nakuita mwl wangu uwape facts mie nashindiliamo na madongo tu!
Nani hajui mpira? Utachekwa wewe........
atoto kitu mlichokifanya kwa dogo langu cute b siyo kizuri nimewaheshimu na ninawasamehe kwa sababu hapa pia nimewekezamo,kamchepuko kangu Barca nakapenda penda ila kina PNC watanifanya nikapige chini wanachonga sana, kalikuwa kamefika viwango vya juu kabisa......lol
Nani hajui mpira? Utachekwa wewe........
atoto kitu mlichokifanya kwa dogo langu cute b siyo kizuri nimewaheshimu na ninawasamehe kwa sababu hapa pia nimewekezamo,kamchepuko kangu Barca nakapenda penda ila kina PNC watanifanya nikapige chini wanachonga sana, kalikuwa kamefika viwango vya juu kabisa......lol
Ukiipiga chini Barca nitafurahi vibaya sana.
Hapigwi mtu chini Barca atabaki kuwa mchepuko.......sasahivi mmekuwa watu wa fitina sana tutakwenda sawa tu....
Ow bora umekuja my sis lol jana nusu waniue kumbe wana vinyongo na mimi so siku zote wananitegea rada jana wakanipata adi nikaona jf chungu.Nani hajui mpira? Utachekwa wewe........
atoto kitu mlichokifanya kwa dogo langu cute b siyo kizuri nimewaheshimu na ninawasamehe kwa sababu hapa pia nimewekezamo,kamchepuko kangu Barca nakapenda penda ila kina PNC watanifanya nikapige chini wanachonga sana, kalikuwa kamefika viwango vya juu kabisa......lol
Ow bora umekuja my sis lol jana nusu waniue kumbe wana vinyongo na mimi so siku zote wananitegea rada jana wakanipata adi nikaona jf chungu.
Hahahaaaa atlist now napumua....
Hapigwi mtu chini Barca atabaki kuwa mchepuko.......sasahivi mmekuwa watu wa fitina sana tutakwenda sawa tu....