FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Yaani barcelona naipenda we acha tu, nafurahigi sana kuwaangalia wakicheza haswaaaa wakishinda, hebu nikumbushe jina la kocha, teh teh

Heheeeeeeee!!! Haya naona mwali umepokelewa kwa nguvu zote wamesahau hata kukupa taratibu za nyumba yao....mimi hawa walikuwa wanapigana vikumbo...
 
Hiyo siku kipenzi cha roho yako Barca anampakata live mchepuko wako manu, jiandae kumpiga kibuti mchepuko ubaki huku kwenye sherehe kila siku, achana na zile stress mpendwa.

Weeeee si hivyo ni hivi.....Barca is my heart, MANU is my Spirit..
 
Yaani barcelona naipenda we acha tu, nafurahigi sana kuwaangalia wakicheza haswaaaa wakishinda, hebu nikumbushe jina la kocha, teh teh
hata.mimi nawapenda saaaana na kocha wetu anaitwa luis enrique
 
Heheeeeeeee!!! Haya naona mwali umepokelewa kwa nguvu zote wamesahau hata kukupa taratibu za nyumba yao....mimi hawa walikuwa wanapigana vikumbo...
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha atoto kafika hapa na hapew talaka kamweee
 
Last edited by a moderator:
Heheeeeeeee!!! Haya naona mwali umepokelewa kwa nguvu zote wamesahau hata kukupa taratibu za nyumba yao....mimi hawa walikuwa wanapigana vikumbo...

Aaah sana tu, walikuwa wanapigana vikumbo wapi?
 
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha atoto kafika hapa na hapew talaka kamweee

Ni rules gani aziongeleazo everlenk, anazodai sijaambiwa? Nisijekuwa nakwaza watu humu wakati all i need is fun.
 
Last edited by a moderator:
Kwani moyo umekatazwa kupenda tena ?......Mpira huu siyo sheria ya Tanzania kwamba sitakiwi kuwa na uraia wa nchi mbili....
ila eveerlenk we ni mshabiki wa kwanza wa man ninayemjua kushabikia barca!.
 
Last edited by a moderator:
Oooh okey, nilikuwaga nampenda yule kocha handsome mwenye matege yule wa kabla ya Luis Enrique.

ooooooh anaitwa pep guardiola kwa sasa hv yupo.bayern munich ya ujerumani
 
Ni rules gani aziongeleazo everlenk, anazodai sijaambiwa? Nisijekuwa nakwaza watu humu wakati all i need is fun.

usimsikilize alimaanisha et hujui soka coz uliuliza kocha wetu anaitwa nani hvyo mzoee
 
usimsikilize alimaanisha et hujui soka coz uliuliza kocha wetu anaitwa nani hvyo mzoee

uhondo wa ngoma uingie ucheze, sasa nitaujuaje kama sio kuufuatilia km hivi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…