Hamia barca bwana
Usininyime tam leo ni mechi za majaribio tu baby
Sijui wamepotelea wapi, wanaipenda barca wale hadi wanaumwa
Mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Jazeni page sie tunajaza makombe ama nene!!
Kwani bado mnaendelea huu mwaka ni zamu ya madread mbona
Baby unajua mimi nawewe hatutakiwi kufanya hii mijadala? Lasivyo mzungu wa4 atakuhusu ujue!
Uniite tu ulipo ntakuja baby usajar
Mimi ni madread morinho tu ndo kaharibu mapenzi yangu
Ntamwambia pnc 1 akulete liverpool fc
ha ha ha ha ha ha sie wazee wa trebo
Hata hivyo nimechoka sn leo, gnt
Aisee niletee atoto anfild namhitaji
aghhrrrrrrrrr yan ww madrid
onyesha kwanza nidhamu kwa Barcelona ndipo.nianze mshawishi atoto aje anfild
Sijui wamepotelea wapi, wanaipenda barca wale hadi wanaumwa
Hatuna jipya eeeh.?...aisee wewe noma kama ndo unaweza mruka mtu hivyo nimekuogopa????😀😀😀😀
onyesha kwanza nidhamu kwa Barcelona ndipo.nianze mshawishi atoto aje anfild
Kabisaaaaaaa!! Tena aiheshime haswaaaaa lasivyo nitafanya maamuzi magumu zaidi ya lowassa.
Mlete tu mii nishabiki mkuu wa mess ha ha ha