FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

ha ha ha ha ha aha ha ha ha ha ha ha hakujui wewe huyu anakuchukulia poa

Eti anamshabikia Messi tu!! Khaaaah ushabiki gani huo, kama hataki kushabikia timu nzima basi adhabu itamuhusu.
 
Eti anamshabikia Messi tu!! Khaaaah ushabiki gani huo, kama hataki kushabikia timu nzima basi adhabu itamuhusu.

ni kweli kabsaaa huyo.adhabu inamhuhusu
 
Manga ML naomba iushabikie barca kabla sijafanya maamuzi magumu

Fanya tu mama unafikiri atapungukiwa kitu basi!!!.....shem darling Manga ML usijali kabisa sisi tupogo kama kawaida apishe tujiachie kwa miraha yetuuu.....
 
Last edited by a moderator:
cute b na everlenk kaz yenu kuzunguka majukwaani akifanya hvyo pnc au Aleyn mnakuwa mbogo sasa humu hatuwataki.mzirud teena had tukishachukua tena trebo ndipo mje

Sisi kuzunguka jadi yetu ila hatukeri kama nyie siye twawapa dozi na kuwaponya....lol
 
Last edited by a moderator:
Fanya tu mama unafikiri atapungukiwa kitu basi!!!.....shem darling Manga ML usijali kabisa sisi tupogo kama kawaida apishe tujiachie kwa miraha yetuuu.....


Ndoa yako ilikushinda ukaivuruga mwenyewe now umehamia kwenye yangu!! Hapa utashindana ila hushindi ng'oooo!! Kumbe hii ndio kazi yako!! Are you that low!!!

Haya tuyaache usituchafulie uzi, unajua barca ndio njia kuu yako ila haujui tu!!
 
Last edited by a moderator:
Ndoa yako ilikushinda ukaivuruga mwenyewe now umehamia kwenye yangu!! Hapa utashindana ila hushindi ng'oooo!! Kumbe hii ndio kazi yako!! Are you that low!!!

Haya tuyaache usituchafulie uzi, unajua barca ndio njia kuu yako ila haujui tu!!

Hahahahaha haijanishinda ipo sana tu na hii itakuwepo ukiiachia,siku hizi wanawake tunaoa tu....lol.....haya poleni jana kwa kichapo....naona still a bonanza ...lol
 
Hahahahaha haijanishinda ipo sana tu na hii itakuwepo ukiiachia,siku hizi wanawake tunaoa tu....lol.....haya poleni jana kwa kichapo....naona still a bonanza ...lol

Kumbe jana kulikuwa na mechi!! Mbona hukunikumbusha? Umesahau majukumu yako ati? Umekalia majungu tu ila vya msingi kama hivi hata hatukumbushani!!
 
Barca bila messi ni sawa na milambo ya tabora, kwa game ya jana mtu asiyejua angeweza kuhisi fiorentina ndio barca, goli mbili ndani ya dakika kumi na jamaa wanagonga ile mbaya!

unanichokoza sio
 
kwa wale wanaume wasiooa waje huku kuna mabint wawili nawaozesha tena bureeeeeee maaana hao kaz yao kushinda humu nao ni cute b na everlenk ila atoto hampati mtu labda kidoooogo Manga ML
 
Last edited by a moderator:
kwa wale wanaume wasiooa waje huku kuna mabint wawili nawaozesha tena bureeeeeee maaana hao kaz yao kushinda humu nao ni cute b na everlenk ila atoto hampati mtu labda kidoooogo Manga ML

Kumbe unatupenda hivi......yaani hapa ndo home kwa dingi angu Aleyn nitashinda nitakavyo.....ayoyoyo kuolewa nitarudi nyumbani kutembeaa.....!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Kumbe unatupenda hivi......yaani hapa ndo home kwa dingi angu Aleyn nitashinda nitakavyo.....ayoyoyo kuolewa nitarudi nyumbani kutembeaa.....!!!!!!

ha ha ha ha ha ha ha ha ah ha ha ha msaliti mkubwa ww
 
Back
Top Bottom