Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha ha ha ha aha ha ha ha ha ha ha hakujui wewe huyu anakuchukulia poa
Eti anamshabikia Messi tu!! Khaaaah ushabiki gani huo, kama hataki kushabikia timu nzima basi adhabu itamuhusu.
Fanya tu mama unafikiri atapungukiwa kitu basi!!!.....shem darling Manga ML usijali kabisa sisi tupogo kama kawaida apishe tujiachie kwa miraha yetuuu.....
Ndoa yako ilikushinda ukaivuruga mwenyewe now umehamia kwenye yangu!! Hapa utashindana ila hushindi ng'oooo!! Kumbe hii ndio kazi yako!! Are you that low!!!
Haya tuyaache usituchafulie uzi, unajua barca ndio njia kuu yako ila haujui tu!!
Hahahahaha haijanishinda ipo sana tu na hii itakuwepo ukiiachia,siku hizi wanawake tunaoa tu....lol.....haya poleni jana kwa kichapo....naona still a bonanza ...lol
We si ulisema hata mume huku hutaki!! Kumbe unammendea Aleyn
Hahahahaaa sim mendeii.
Ngoja aje utakoma mimi najua sijamtaja..
Mkorofi huyooo
Barca bila messi ni sawa na milambo ya tabora, kwa game ya jana mtu asiyejua angeweza kuhisi fiorentina ndio barca, goli mbili ndani ya dakika kumi na jamaa wanagonga ile mbaya!
Kumbe unatupenda hivi......yaani hapa ndo home kwa dingi angu Aleyn nitashinda nitakavyo.....ayoyoyo kuolewa nitarudi nyumbani kutembeaa.....!!!!!!
Kabisaaaaaaa!! Tena aiheshime haswaaaaa lasivyo nitafanya maamuzi magumu zaidi ya lowassa.
Usjari baby hutafika huko
Kwahiyo unaishabikia barca mpenzi?