FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

1439269172152.jpg
 
1439269204017.jpgbado la leo linakuwa la 87 na next week la 88
 
1439269410053.jpg1439269435492.jpg1439269465117.jpg1439269496838.jpghata sie kuweka picha tunajua ila hatupendagi mbwembwe
 
atoto mama wa fc Barcelona nchini Tanzania karbu leo kupokea kombe la 5 ndani ya mwaka mmoja huku tukiwa tumebakisha mawili yatimie saba

Hii lazima niangalie leo
 
Last edited by a moderator:
wewe ni mamluk kamsifie mafis ya kulipwa au muotesha nyewele ama yule beki wenu kipofu ama mvaa vitopu maruani

Wewe katoto nitakuchapa ujue? Hehehehiyaaa dunia huru hii najidai na kushangilia popote pale nipendapo,mi ni mwanasoka si shabiki wa mpira ati!!!!
 
1439269675656.jpg1439269675656.jpg1439269675656.jpg1439269675656.jpg1439269675656.jpg1439269675656.jpg1439269675656.jpg1439269675656.jpg1439269675656.jpg1439269675656.jpg1439269675656.jpg1439269675656.jpg1439269675656.jpg1439269675656.jpg1439269675656.jpg1439269675656.jpghaters mtasubir sana Kwa KING MESSSSSSSSSSSSIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
 
Wewe katoto nitakuchapa ujue? Hehehehiyaaa dunia huru hii najidai na kushangilia popote pale nipendapo,mi ni mwanasoka si shabiki wa mpira ati!!!!

kama dunia ni huru nenda kaishi BAGHDAD na bado mtasubir kwa King Messi
 
Nawaona mashabiki wa Barca 2015 mnapeana moyo......

ha ha ha ha ha ha binti kuwa na adabu mie babu yako nimeanza shabikia Barcelona mwaka 1982 wakat tunamsajili Maradona
 
Mnaangalia Super Cup Barca 1-1 sevilla. Magoli ya vipimo free kicks.
 
Back
Top Bottom