FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

hatimae Barcelona wamewapiga Seville goli 5 huku King Messi akitupia goli kali mbili za free-kick na kuwa mabingwa wapya wa UEFA SUPER CUP Ikumbukwe kwa mwaka huu Barcelona tumebeba kombe 5 tukibakisha 2 tutimize 7nyie endeleeni na mabonanza sie tunabeba ndoo na la kucurahisha zaid leo Messi ni Man of the match Visca el Barca
 
PNC 1 yupo mahali anabishana balaa ha ha ha

ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha Sie ndio Barcelona Mabingwa wa kila kombe duniani ngaz ya club kasoro mabonanza
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha Sie ndio Barcelona Mabingwa wa kila kombe duniani ngaz ya club kasoro mabonanza

Hahahaaaaaaa eti kasoro mabonanza, nimeipenda hiyo, barca forever
 
Best Player in Europe: Messi, Ronaldo or Suárez



Barcelona pair Lionel Messi and Luis Suárez, and Real Madrid's Cristiano Ronaldo are the three nominees for the 2014/15 UEFA Best Player in Europe Award. The winner will be announced on 27 August.
 
hapo tyar kashachukua Messi
 

Mesiiiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…