FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hahaaaaaaa.... Nasikia yule Messiah wa soka na safu yake haikuwepo 😀😀:

Btw. Pole sana mtani maana hata kule uefa mliponea chupuchupu

Mtani aibu acha tu!!!!! Naona kama ndoto vile ila anyway ndo mpira ila tusubiri marudiano pengine tutajilipizia kisasi. Ila kocha alifanya mistake kidogo kwenye first eleven yake.
 
Mtani aibu acha tu!!!!! Naona kama ndoto vile ila anyway ndo mpira ila tusubiri marudiano pengine tutajilipizia kisasi. Ila kocha alifanya mistake kidogo kwenye first eleven yake.

Hebu nipe na yenu, leo usinitibue tafadhali asubuhi yangu sio nzuri.
 
ever nini kinaendelea hapa!? ligi si ilikuwa inaanze tar 23!? nimeenda kushangaa ngoma yenu na aston villa kumbe home kunaungua.

Aaah!!! Acha tu Wangu aibu aibu aibuuuu!!!! Mechi ya jana ni ya Super Cup sema ligi ndo tunaanza nao tena......mwenyewe wakati wa half time nikaona 1-0 nikajipa moyo linarudi nikaendelea kumfurahia big house,duh!!! Kuja kuona matokeo baadaye sikuamini nilitamani hata kumuhadithia big house....
 
Mtani aibu acha tu!!!!! Naona kama ndoto vile ila anyway ndo mpira ila tusubiri marudiano pengine tutajilipizia kisasi. Ila kocha alifanya mistake kidogo kwenye first eleven yake.

Tafadhali mtani jiandae kabisa kukwepa ugonjwa wa moyo huu mwaka mchepuko wako hana chake
 
Tafadhali mtani jiandae kabisa kukwepa ugonjwa wa moyo huu mwaka mchepuko wako hana chake

Mtani Wangu usitabiri Mabaya please!!!! Kusema kwamba nibaki njia kuu tu....!!!!....hapana ni kaupepo katapita tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…