Hata asa hv rudi kabla hujatupa mkos
Leo silali naminya mbupu mfungweeeeee
Leo ni.mechi ya supper cup marudiano kati ya Fc Barcelona na Athletic bilbao mechi itaanza saa 5 usiku. USHINDI LAZMA
Unadhani nitashangaa, tokea uwe mke wa sangoma sina imani na wewe tenaaaa!!
Hahahaaaaa..... mtakomaaa na team yenu mbovuu... tatizo mesi kazidi ufupi yaani bonge la kioboteeeee...
vipi anzeni kujitetea sasa hivi kabla ya mtanange maana baada ya mtanange ni vigodoroo tuu mimi na my pacha everlenk.
Hivi mnacheza na nani vileee
Visca el Barca.....