kijana alitiwa presha na mourinho lazima awepo katkia kikosi cha juzi jumamosi ili aje kuiogomboa chelsea ilimbidi afanye hivyo bila ya kuwaaga rafiki zake na uongozi mzima sasa leo aliamua kurudi barcelona kuja rasmi kuwaaga wachezaji na uongozi wote wa fc barcelona visca barca visca catalunya kila la kheri PEDRO
Uko sahihi mkuu huyu atakuwa mzur zaid mbeleni kama ataendelea chezeshwaEVE KIWANGO AMBACHO KAKIONYESHA THOMAS VERMALAEN JANA KIMEONYESHA TAMAA FLAN KAMA JAMAA ANAANZA KUREJEA KATIKA FORM HIVI
EVE KIWANGO AMBACHO KAKIONYESHA THOMAS VERMALAEN JANA KIMEONYESHA TAMAA FLAN KAMA JAMAA ANAANZA KUREJEA KATIKA FORM HIVI
Daaaaah wapone harakaNA HABARI KUHUSU KUUMIA KWA DANI ALVES INASEMA KWAMBA VIPIMO VIMEONYESHA KWAMBA DANI KAUMIA ILA BADO HAIJAFAHAMIKA ATAKUA JUU KWA MDA GANI TUTAPATA HABARI ZAIDI HAPO BAADAE PIA BUSQUET NAE AMEUMIA ILA HAKUMIA SANA KAMA ALIVYO UMIA DANI @ VISCA BARCA
Daaaaah wapone haraka
Vp kuhusu tetesi za wendawazimu man u kumtaka mfalme ajae wa barcelona neymar de santos
media zao za epl zishaanza kutangaaza ila hilo jambo halipo katika club ila kwa kiasi kilichotajwa barca haitokua na hasara media zimesema man u wanataka kuvunja record tunawakaribisha
magazeti ya bongo nayo hawako mbali kukopi na kupesti