ngoja King Messi aingie
King Messi anaingia kubadilisha matokeo dk 60. Barcelona 1 Atletico 1
uko sahihi mkuu Neymar had alikuwa anaboaNeymar mpira wa kichoyo choyo na masifa sifa anai lostisha timu
ndo maana bila Messi timu haifungi
Messi anaongoza kwa assist pia.. Neymar selfish sana
uko sahihi mkuu Neymar had alikuwa anaboa
Hongerakwa ushindi wa mesi
yote mseme nyie ila ni ushind wa Barcelona