Ushauri wa bure. Kama hujafunga ndoa ya kikristu na manure, achana nao. Bora uhamie kwa baca kabisa kuliko kuendelea kuumiza roho yako, kisa timu mbovu.
Mweeee!!!! Kwani umesikia roho zetu ni nyeusi?
ha ha ha ha ha ha ha
Sina la kuongea sbb Barca ni mchepuko wangu .....leteni mirejesho Mbona mnakimbia jukwaa mpaka uone goli ndo uje na kelele zako.
Mtani naona hadi mchepuko umeshindwa kukufuta machozi.
Naomba nitume salamu za mbali kama Florenzi
ha ha ha ha ha ha ha ha Kwa Barcelona mtasubir saaana na bado Barcelona inameremeta
Barcelona itaisambaratisha Roma had huruma kwa kipigo cha kuondoka na point 3
Heheheheeeeeeeeee wapii mesi?
Mlizoea vya kunyonga ee?
Tena mshukuru mungu muda uliisha la sivyo roma angewanajis dadeeeeeeeeeeeeekkk
Barcelona hatariiiiii Nilijua tu lazma Barcelona ingepata goli uwanjani mwao pia hatukuwa sana mchezon baada ya rafinha kuumia kwan wachezaj walikuwa wanamfikiria mwenzao
Barcelona hatariiiiii Nilijua tu lazma Barcelona ingepata goli uwanjani mwao pia hatukuwa sana mchezon baada ya rafinha kuumia kwan wachezaj walikuwa wanamfikiria mwenzao
Hahahhahhah japokuwa ni mate ila hapa fix duhhhh!!!!