FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

yaaani celta vigo wametula 4 naota au nina mechi 2 sijaziangalia ya ud lavante na hii ya celta vigo mkuu pnc hebu nipashe baba
 
yaaani celta vigo wametula 4 naota au nina mechi 2 sijaziangalia ya ud lavante na hii ya celta vigo mkuu pnc hebu nipashe baba


heh heh heh kajamba kwenye maji huyo...tumeona vipovu tu
 
yaaani celta vigo wametula 4 naota au nina mechi 2 sijaziangalia ya ud lavante na hii ya celta vigo mkuu pnc hebu nipashe baba
Daaaaah ndio hvo mkuu MUOSHA NAYE HUOSHWA
 
Pyeeeeeeeeee shikamoo celta da vigo

MAN UTD:
timu pekee iliyotisha kwa kubebwa na webb bahati mbaya babu kastaafu,webb naye kastaafu,lakin mpaka leo bado wanaishi kwa kukariri,na zifuatazo ndo sifa za nyumbu utd:
1.timu pekee yenye kelele nyingi inapobahatisha kushinda
2.ni timu inayoamini mafanikio yapo tu kutokana na kelele
3.wachezaji wake wengi hawana ni mabishoo
3.valencia huyu ndo kituko anaamini kuchomekea shati kila siku ndo kushinda game
3.rooney huyu ndo mtu wa kipekee ndani ya man utd ni hii ni kutokana na kufanana na kitimoto anaamini kuzunguka sana uwanjani kunamfanya afunge,taarifa zilizopo ni kuwa siyo muda atakuwa kipa
4.de gea huyu ndo kipa anayewabeba sana

5.smalling beki asiyejua thamani ya kufunga na huyu anafaa kucheza ndanda f.c

6.fellain huyu ndo bure kabisa kipindi cha ferguson huyu angebadilishwa na nurdin bakari anaamin urefu wake ndo kila kitu

7.mata huyu anahitaji watu walio bora kucheza nao

8.depay anaamini ubishoo utamfanya aogopeke,ktk ligi ya wanaume hutakiwi kuwa laini anafaa kuwa mcheza shoo wa diamond

9.young yeye anaweza zaidi kujiangusha sion sababu uwepo wake pale man utd

10.blind kama alivyo jina lake ni kweli kipofu ataendelea kuwa kipofu labda abadilishe timu

11.martial sometime siyo vizuri kubahatisha ni bora usifunge kuliko kubahatisha uonekane una msaada kwenye kumbe huna tofauti na juma ntwila

12:van gaal huyu kocha sijui anasubiri nini kwenda kwenye mieleka ni kocha mbishi zaidi duniani na anayeamini atashinda kwa historia ya nyuma

13:man utd naona wanajaribu kusukuma semi trailer kwenye mlima bora wakomae na calling cup,kilicho kibaya zaidi kocha kakiri hawezi chukua uefa wala epl ina maana ashakata tamaa nashangaa mashabiki wanaendelea kupiga kelele humu
 
Maafa ya jana balaa

Barca siku ya kufungwa huwa anapigika kweli. Na kwa timu zinazoijulia ni speed sana na usiwasubiri wapige pasi sana. Ukienda speed beki zote hupotea kwakua barca siku zote beki zao sio nzuri sana zinabebwa na mfumo wao wa kumiliki mpira.
 
Barca siku ya kufungwa huwa anapigika kweli. Na kwa timu zinazoijulia ni speed sana na usiwasubiri wapige pasi sana. Ukienda speed beki zote hupotea kwakua barca siku zote beki zao sio nzuri sana zinabebwa na mfumo wao wa kumiliki mpira.

Ile jana ni dharura tu
 
Ile jana ni dharura tu

Kuachana na hilo hata wachambuzi walisema mapema kwamba wale wajamaa wanawajulia barca.
Mfano: Mourinho alivyokuja Spain na stlyle yake ya kulinda alikuwa anapigwa za kutosha mpaka kuna siku alipigwa 5 mdomo ukawa mrefu kama wa mamba. Baadaye akawajulia akaanza style ya kukaba kwa speed na hakuna kujilinda tena na ndio hapo akaanza kuwafunga sana.
 

ha ha ha ha ha ha et mdomo mrefu kama wa mamba ila yote kwa yote jamaa wanabahat saaana sababu tumekosa nafas za waz kibaooo walikuwa wanakula hata 7
 
ha ha ha ha ha ha et mdomo mrefu kama wa mamba ila yote kwa yote jamaa wanabahat saaana sababu tumekosa nafas za waz kibaooo walikuwa wanakula hata 7

Ni sehemu ya mchezo kukosa kaka. Mpira nao ni bahati. Kumbuka mbali na wao kufunga haya wao walikosa magoli ya wazi kama 3 hivi. Ndio maana nasemaje barca akisha kufunga tayari ukijitahidi sana kupindua matokeo ni draw kwakuwa wanamiliki sana mpira. Ila barca ukimtangulia anakuja kama mbogo au kama mmasai umnyang'anye ngombe kwakuwa barca huona wao ndio wanahaki ya kukaa na mpira na hapo ndio utamuona Pique anafunga tena sio kona wala nini yaani move ya kawaida tu Pique anafunga kwa maana wanapanda wote na timu yenye wachezaji wanaspeed lazima upigwe counter angalia goli la kwanza mpaka la 3 japo la pili Pique alifanya uzembe na isitoshe walikuwa wawili tu. Pia Nolito alikosa goli la 4 kwa uchoyo wakupiga pasi tu pale walipofanya counter ya nguvu.
Wachezaji w barca jana walikuwa wamenuna mpaka huruma unajua ukizoea kushinda kila siku siku ukifungwa ni kama umefungwa jela.
 

Uko sahihi ila wewe timu gani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…