Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaaani celta vigo wametula 4 naota au nina mechi 2 sijaziangalia ya ud lavante na hii ya celta vigo mkuu pnc hebu nipashe baba
Daaaaah ndio hvo mkuu MUOSHA NAYE HUOSHWAyaaani celta vigo wametula 4 naota au nina mechi 2 sijaziangalia ya ud lavante na hii ya celta vigo mkuu pnc hebu nipashe baba
Full time: Celta 4 Barcelona 1
View attachment 290601View attachment 290601View attachment 290601View attachment 290601View attachment 290601View attachment 2906View attachment 290601View attachment 290601View attachment 290601View attachment 290601View attachment 29060101[/ATTACH]View attachment 290601View attachment 290601View attachment 290601View attachment 290601View attachment 290601View attachment 290601View attachment 290601View attachment 290601
nfyuuuuuuuuuuuuu shikamoo za kinafki
Pyeeeeeeeeee shikamoo celta da vigo
Hodi hodi humu ndani...
Maafa ya jana balaa
Maafa ya jana balaa
Barca siku ya kufungwa huwa anapigika kweli. Na kwa timu zinazoijulia ni speed sana na usiwasubiri wapige pasi sana. Ukienda speed beki zote hupotea kwakua barca siku zote beki zao sio nzuri sana zinabebwa na mfumo wao wa kumiliki mpira.
Ile jana ni dharura tu
Kuachana na hilo hata wachambuzi walisema mapema kwamba wale wajamaa wanawajulia barca.
Mfano: Mourinho alivyokuja Spain na stlyle yake ya kulinda alikuwa anapigwa za kutosha mpaka kuna siku alipigwa 5 mdomo ukawa mrefu kama wa mamba. Baadaye akawajulia akaanza style ya kukaba kwa speed na hakuna kujilinda tena na ndio hapo akaanza kuwafunga sana.
ha ha ha ha ha ha et mdomo mrefu kama wa mamba ila yote kwa yote jamaa wanabahat saaana sababu tumekosa nafas za waz kibaooo walikuwa wanakula hata 7
Ni sehemu ya mchezo kukosa kaka. Mpira nao ni bahati. Kumbuka mbali na wao kufunga haya wao walikosa magoli ya wazi kama 3 hivi. Ndio maana nasemaje barca akisha kufunga tayari ukijitahidi sana kupindua matokeo ni draw kwakuwa wanamiliki sana mpira. Ila barca ukimtangulia anakuja kama mbogo au kama mmasai umnyang'anye ngombe kwakuwa barca huona wao ndio wanahaki ya kukaa na mpira na hapo ndio utamuona Pique anafunga tena sio kona wala nini yaani move ya kawaida tu Pique anafunga kwa maana wanapanda wote na timu yenye wachezaji wanaspeed lazima upigwe counter angalia goli la kwanza mpaka la 3 japo la pili Pique alifanya uzembe na isitoshe walikuwa wawili tu. Pia Nolito alikosa goli la 4 kwa uchoyo wakupiga pasi tu pale walipofanya counter ya nguvu.
Wachezaji w barca jana walikuwa wamenuna mpaka huruma unajua ukizoea kushinda kila siku siku ukifungwa ni kama umefungwa jela.