Hatutaki kocha kilaza
Hatutaki kocha kilaza
Uwe na adabu na maneno yako, Wacha kukurupuka banaaa kama mgombea fulani wa Urais! !!!!!
Hahaha ulivyoongea siri yangu.....
bora hao jamaa wameedroo. el classico 22 november. i hope kirikuu atakuwa kapona.
Cr7 fans be like .....
Ma giant wap hao au wakcarrickMesi ni andunje sana...pamoja na kuchomwa dawa za kujirefusha bado ni kiobote sasa akikutana na ma giant lazma aumie
Ma giant wap hao au wakcarrick
Ha ha ha ha kama wanafikir hvyo watasubir saaaana
hayo messi anarudishaga. kumbuka kkilichotokea msimu uliopita. Ronaldo kumshinda messi inabidi atumie mbinu aliyotumia kocha wa evil timu kwenye shaolin soccer.Atakapo rudi Messi ujue Cr7 atakua na 20+ goals
hayo messi anarudishaga. kumbuka kkilichotokea msimu uliopita. Ronaldo kumshinda messi inabidi atumie mbinu aliyotumia kocha wa evil timu kwenye shaolin soccer.