Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali Barcelona wameshinda ingekuwa aibu kwa bingwa mtetezi kupotezwa mapema namna hii!
sisi ni wazee wa MABADILIKO
ha ha ha ha ha ha ha ha ha mkuu uwe na akiba ya maneno
kuna ulazma Messi apigwe hata ganzii
Simba mwenda pole ndio mla nyama
sisi ni wazee wa MABADILIKO
Mkuu inakiri kabisa sehemu huu mwaka hamna chenu
Naona matumaini yanapotea messi asipokuwepo teeeeehe teeehe
Ukarudisha matumaini kidogo
Hahaaaaa mmeponea chupuchupu unaanza kupiga kelele
mimi sijawahi ona Barca anazidiwa possession nyumbani kwake- leo half ya kwanza ilikuwa tumezidiwa possession-something is not right-AU huyu Enrique ana abandon philosopy ya Barca????
Ha ha ha ha ha ha ha hiv hawa leverkusen wamfunge Barcelona kwa kigezo kip haswa?oooh bila messi hamtoki wapiii dakika za 80 liverkusen wanajiona tayari wemeshashinda wakaanza kupoteza mda wakaambiwa subirini nyie hampajui hapa eee hapa ni camp nou
Kesho Ni Fc Barcelona vs Sevila saa 11 jioni tukiwa ugenini Pia isisahaulike mechi ya mwisho tuliwapiga 5:4 nchini Georgia UEFA SUPER CUP
Nikiwaza Messi hatokuwepo daah napoteza raha kabisa, he has to get wel fast maana mie huyu ndio ananifanya niangalie mpira mara moja moja.
hao toka bacca ameondoka hawanitishi.Daaaaah yani hata mie najickia vbaya sana kukosekana kwa king Messi ila TUTASHINDA viva Barcelona
hao toka bacca ameondoka hawanitishi.