Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SEVILA you're NEXT
Barca vp no mess no winning
Bayer leverkusen King Messi alikuwepo??
SEVILA you're NEXT
Kesho Ni Fc Barcelona vs Sevila saa 11 jioni tukiwa ugenini Pia isisahaulike mechi ya mwisho tuliwapiga 5:4 nchini Georgia UEFA SUPER CUP
Daaaaah yani hata mie najickia vbaya sana kukosekana kwa king Messi ila TUTASHINDA viva Barcelona
Half Time 0:0
Kesho Ni Fc Barcelona vs Sevila saa 11 jioni tukiwa ugenini Pia isisahaulike mechi ya mwisho tuliwapiga 5:4 nchini Georgia UEFA SUPER CUP
Kweli sevila is next teeeeeehe teeehe
Nadhani muda huu utakua umelazwa kabisa baada ya kujisikia vibaya
Teeeehe teeeehe ukakimbia na update zako kweli Sevila is next
Barca ni mdebwedo
Barca bila mbilikimo ni kama FC Mallorca
Na bado
Mkuu wewe timu gani
Njoo kwa majogoo klabu ya dunia baada ya Real Madrid
Ha ha ha ha haaaaa ha ha ha ha haaa ha Antonio Greezman
Uko sahih mama wa Fc Barcelona nchini TanzaniaAnakuita uende timu gani!!! Alafu barca yetu tumuachie nani? Kufungwa ni sehemu ya matokeo walaaa haiondoi dhana ya kuwa barca ni bingwa.
pnc tumewaona wabaya wetu wasikilize tu wambiye hii barca mwendo wa treble waulize izo timu zao zikoje kuanzia huko epl hata uefa halafu ndo waje kuicheka barca hapa watutajie majina yao ya timu zao
maana ukiona hivyo basi wingi wao from epl akipigwa barca furaha kwa epl yote