FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

ngoma ndiyo inaanza. neymar na pique wako suspended. jordi majeruhi , danny bench na vidal kaanza. munir katupia dk ya kwanza. barca 1 malaga 0.
 
ila mechi ya leo tunapiga chini ya kiwango. beki imepwaya sana.
 
FT 2-1. @everlink umepotolea wapi? naona upande wa pili mambo si mazuri
 
game ya leo as usual ni show time,value for money,entertainment 100% na tunaweza furahia a goals galore
 
Game ya leo wadau mnaionaje?
Hili kombe ni la Barca moja kwa moja, nasema hivi sababu sijaona timu inayoweza kuleta upinzani kwa Barca badala ya Real Madrid kuondolewa. Atletico Madrid hawawezi isumbua Barca!
 
Hili kombe ni la Barca moja kwa moja, nasema hivi sababu sijaona timu inayoweza kuleta upinzani kwa Barca badala ya Real Madrid kuondolewa. Atletico Madrid hawawezi isumbua Barca!
¨
MKUU MIMI BASI NAONA BORA REAL MADRID SISI HAWATUSUMBUI KULIKO HAWA WALIOBAKIA ATHLETIC MADRID . CELTA VIGO . SEVILA HIZI TIMU ZINASUMBUA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…