FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Unwritten rule ya soccer ni kwamba opposition ikiwa pungufu eg 2 players you don't humiliate them-wangekuwa 11 pengine zingefika 5 maana shughuli ilishaanza
 
Bad 2nd half by Barca. Neymar very dissaapointing, doesn't have the maturity yet. He should have strived more to create chances rather than doing unnecessary stuffs.

#congratulations
Neymar kwenye mechi ya bilbao katikati ya wiki aliumia mguu. kwanza nilidhani hata cheza leo.
 


Leo Messi na Ronaldo wameweza kufikisha goli 1000 zilizofungwa kati yao. Messi ana average nzuri ya goal per game played

Messi and Ronaldo combined:
1384 Games
1000 GOALS
8 Ballon dors
7 Golden shoes
43 Trophies
 
umetumwa au vipi hizo goli 2 zilipoingia walikua wangapi na nani alieanza kufunga goli acha ushabiki wa kipumbavu wale athletico wanajifanya wana hasira walikusudia kumuumiza neymar au messi ile sio miyeleka ni football wao ndo wamejiharibia kwa rafu za kijinga
 
mnapo cheza pungufu mnakua na speed kuliko hata mnapo kua full kwa mfano mechi ya psg vs chelsea alipotolewa ibra chelsea waliipata good na tayari walisha shinda gem kataa hilo
 
Bad 2nd half by Barca. Neymar very dissaapointing, doesn't have the maturity yet. He should have strived more to create chances rather than doing unnecessary stuffs.

#congratulations
sikuiz umekuwa mchambuz wa soka man u imekushinda[emoji1] [emoji1]
 
hawa Arabs wa Manchester City naona wana more money then brains,wanamlipa Guadiola 1 million £ take home every month,wanataka wa trigger release clause ya Neymar wamchukue na Messi pia wanamtaka Pogba. Guadiola financially atakuwa fine,lakini Man City itaishia kutesa England and no where else.
 
Amekimbia Lawama, angeenda timu kama Chelsea, PSG au Madrid angepewa kazi kubwa sana juu ya UEFA. Kaenda Man City huku akitegemea kazi yake kubwa ni League tuu.
Kuna watu nilishawahi kuwaambia kuwa Pep Guardiola ni kocha wa kawaida sana, kilichompa mafanikio makubwa pale Barca ni Messi pamoja na Tiki taka ambayo ilikuwa ikichezeshwa na Mafundi akina Xavi na Iniesta.
Kipindi cha 2011-2012 Pep aliona kuwa mfumo wa Barca umeshapata suluhisho kwa timu pinzani, akaamua kusepa. Na ni kweli kabisa, endapo jamaa angebaki na Mourinho akabaki pale Bernabeu, tungekuwa tunaburuzwa sana.
Kudhihirisha kuwa Pep ni bomu, baada ya kwenda Bayern akaamua kupeleka mfumo wa Barca badala ya kuanzisha Soka lake binafsi kule Bayern. Tiki taka sio yake, ni ya JOHAN CRUYFF. Yeye mwenyewe alipewa tu mbinu ya kuifundisha Tiki taka, na ndo akawafundisha Barca B wakiwepo akina Iniesta, Xavi, Messi n.k
Pep kwangu ni kocha wa kawaida tuu, ukiniwekea yeye na Ancelot nitamchagua Ancelot.
 
...sijakusoma hapa,hiyo tiki taka ni phylosophy,na kila kocha ana phylosophy yake na ndio Guardiola ameamua kuifata.
...kuhusu kushinda makombe nayo ni bahati tu,unaweza kuwa na Messi kwenye timu na bado usishinde kila mashindano utakayoingia.
.....habari ya Mourinho anajua eti angeanza kumfunga Guardiola,nayo ni sababu fake..coz Mourinho ndio kaharibu mara mia zaidi ya Guardiola mpk kufikia stage ya kufukuzwa!!
..mwisho; unatakiwa ufahamu,kila kocha ana level yake na Guardiola sasa ni miongoni mwa makocha wachache wa daraja la kwanza.Hivyo kukaa unasubiri eti siku moja aende kufundisha stoke city,then washinde CL final ndio uamini anajua,is simply insane!
 
Well Guadiola ame win financially lakini tatizo press ya England ni too demanding kwa mshahara atakaopata hakuna grace period-he has to hit the ground running which is next to impossible. Waarabu wanataka tiki taka football and nothing else-hii ni impossible kui master-it took ages for Barca to master this art-you have to start from the academies. For Guadiola tatizo ni football ya sasa inataka immediate results-this will be his undoing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…