FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

>>Barcelona sasa imekusanya jumla ya point 75 kati ya michezo 29 iliyocheza ktk La Liga.

-bado michezo 9 ligi iishe kwa msimu huu wa 2015/16
 
RECORD BREAKDOWN:-
>>Barcelona leo imevunja rekodi ya klabu ya Ac Milan ya mwaka 1991/92 iliyocheza michezo 36 pasipo kufungwa.

-sasa Barcelona imetimiza michezo 37 pasipo kufungwa.

-bado mechi 3 icheze bila kufungwa ili kuifikia rekodi ya Nottingham Forest iliyocheza mechi 40 bila kufungwa.

-na hatimaye rekodi ya Juventus ya 2011/12 iliyocheza mechi 43 mfululizo pasipo kufungwa.
 
Penalty imekua tatizo sana kwa barca ni lakuangaliwa tena hili
 
Reactions: PNC
Hapa sasa thread imekuwa tamu SIO MIPICHA YA ZAMANI
 


Good thread kamanda umejitahidi mno! God bless u
 
nchini ECUADOR LIGI KUU yao inaendelea ambapo kwa mara ya kwanza katika zaid ya ulongo mmoja endapo BARCELONA itaibuka na ushindi itaongoza ligi
MPIRA DK 52 NA BARCELONA inaongoza 1:0 usishangae barca iko kila mahala hata mtaani kwetu ipo
 
Kasamata naona kafunga leo bas sifa zitazidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…