UMENENA CARLO ANCELOTTI,,,, ""Ni Rahisi Na Starehe Kubwa Kumtazama #Messi Akicheza Dhidi Ya Timu Ya Adui,,,ila Ni Hofu,namaumivu Makubwa Kumkabili Anapocheza Dhidi Ya Timu Yako, mimi Ni Mmoja Wa Makocha Nlioweza Kwa Kiasi Kikubwa Kumkabili #Mwanaume Huyu Mara Kadhaa Nikiwa Na RMA,ila Kwa Ujumla Wake Haikuwa Kazi Rahisi,baada Ya Mechi Husika Unapomwona Beki Wako Anachelewa Kufika Ktk Mazoezi Yake Hupaswi Hata Kumlalamikia,kwa Kuwa Aliwajibika Zaidi Ya Mara Mbili Ktk Mechi Dhidi Ya Akina #messi,,..Huwa Ni Vigumu Kumkabili Messi Akiwa Fiti Kwa 100%...ni vigumu kumzuia,,.kipaji chake ni hatari xana kwa sababu hujui ni kitu gani atakifanya,hivyo kiukweli hakuna njia #rasmi ya kumtuliza star huyo.,,HAYO NI MAMENO YA CARLO ANCELOTI,,,KOCHA MTARAJIWA WA "THE BAVARIANS,,,