FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Sijui kwanini nikiona jina la Mathieu kwenye starting line au anaingia kwa sub hua naumia roho sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Japo nina hasira ila umenifanya nifurahi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Japo nina hasira ila umenifanya nifurahi
Mkuu PNC1 hivi huwa hukosi amani ukiona jina la huyu jamaa???
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Mimi uyu mathieu tangu atoe ile siri ya ugomvi wa messi na kocha enrique mm alinitoka moyoni kabisa nikajua atakua mbea tu uyu kumbe kawa adi mfungishaji kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu ibrah [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenivunja mbavu japo moyo unaumia
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu ibrah [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenivunja mbavu japo moyo unaumia
Mkuu ni shida [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
  • Thanks
Reactions: PNC
[emoji1] [emoji1] [emoji1] afu enrique kocha wetu hua anafanya sub mda mwingne adi wewe shabiki unashangaa
mimi alinishangaza wakat anamuingiza mathiew sababu nikajua huyu uchochoro alisababisha majanga kwenye mechi ya deportivo alipoingia game ikaisha 2:2 daaah kama niliota vile nikaona upande wake umekuwa uchochoro watu wanajipitia akawa anawapasia maadui alipoona bado anaowapasia hawafungi akaamua kumaliza mchezo kwa kujifunga PUMBAAAAAAAAF ZAKE analipwa mshahara mkubwa hata kunyoa kipilipili hatak
 
mimi alinishangaza wakat anamuingiza mathiew sababu nikajua huyu uchochoro alisababisha majanga kwenye mechi ya deportivo alipoingia game ikaisha 2:2 daaah kama niliota vile nikaona upande wake umekuwa uchochoro watu wanajipitia akawa anawapasia maadui alipoona bado anaowapasia hawafungi akaamua kumaliza mchezo kwa kujifunga PUMBAAAAAAAAF ZAKE analipwa mshahara mkubwa hata kunyoa kipilipili hatak
[emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] afu enrique hajifunzi hawa wachezaji wengine bana pale kati mascherano na pique wasipokuepo hatuna mbadala aliekamilika kama tulivo kwenye kiungo
 
Mimi uyu mathieu tangu atoe ile siri ya ugomvi wa messi na kocha enrique mm alinitoka moyoni kabisa nikajua atakua mbea tu uyu kumbe kawa adi mfungishaji kabisa
dah nimekosa mechi, tanesco walitukatia umeme toka asubuhi. Mathieu nafikiri kazeeka. miaka 33 na timu inahitaji uwe unapanda!! siyo mbaya. unbeaten record inaendelea. huyo bakambu wa moto sana. ngoja nisubiri madrid na sevilla. wale wazembe wamepigwa jana na sporting.
 
dah nimekosa mechi, tanesco walitukatia umeme toka asubuhi. Mathieu nafikiri kazeeka. miaka 33 na timu inahitaji uwe unapanda!! siyo mbaya. unbeaten record inaendelea. huyo bakambu wa moto sana. ngoja nisubiri madrid na sevilla. wale wazembe wamepigwa jana na sporting.
Madrid naomba asimamishwe ata kwa droo tu kama ikiwezekana
 
Liga BBVA zimebaki mechi 8 ligi iishe, ili Barcelona ichukue ubingwa inaitaji kushinda michezo 5 tu ambapo itafikisha point 91 kitu ambacho Atretico Madrid pekee ndie anaweza kufikia point hizo ikiwa atashinda michezo yote 8 iliyobaki ila utofauti wa magori ya kufungwa na kufunga ndipo A Madrid atapitwa na FC BARCA
 
[emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] afu enrique hajifunzi hawa wachezaji wengine bana pale kati mascherano na pique wasipokuepo hatuna mbadala aliekamilika kama tulivo kwenye kiungo
Pique ilibidi atolewe,alikuwa one card away aikose El Classico-hii mechi you need all your big guns.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
El classico could be a thriller,hot and cold blowing Madrid after winning yesterday suddenly fancy their chances - we will see if Marcelo forages upfront risking being caught in no mans land by Barcas counter attacks-Messi with freedom of the pitch could have a field day
 
  • Thanks
Reactions: PNC
What a game yesterday, if Messi fails Neymar is there, if Neymar fails Suarez is there, If Suarez fails Messi is there, if they all fail, Referee is always there .The referee favoured barca more than villareal. Don't forget pique handball scene. He saw but did nothing about it. He was too blind to see!

Man of the Match: REFEREE
 
  • Thanks
Reactions: PNC
944929_1179150875443004_392811793150993250_n.jpg
 
penalt ya neymar tumebebwa ndugu zangu ila ndo mpira. Yan barca beki mzuri ni mascherano mana anafikia sana mashimo ya wenzake. mie akiwepo mascherano tu afadhali anatuokoa sana ata acheze na beki mbovu hua anatusaidia sana.
 
Back
Top Bottom