FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

penalt ya neymar tumebebwa ndugu zangu ila ndo mpira. Yan barca beki mzuri ni mascherano mana anafikia sana mashimo ya wenzake. mie akiwepo mascherano tu afadhali anatuokoa sana ata acheze na beki mbovu hua anatusaidia sana.
mabeki wote ni wazur ila jana ndio tumeliona pengo la pique japo akiwepo huwa tunamuona wa kawaida
 
penalt ya neymar tumebebwa ndugu zangu ila ndo mpira. Yan barca beki mzuri ni mascherano mana anafikia sana mashimo ya wenzake. mie akiwepo mascherano tu afadhali anatuokoa sana ata acheze na beki mbovu hua anatusaidia sana.
kwa hiyo hizo timu zingine ambao Barca kila siku wanafunga for fun nazo hazina ma beki??
 
marekebisho upande wa beki halaf the magician mess should be sold to m an city
 
Barack Obama (president United States): "My
daughters already met pope Francis, and now they
want to meet Messi. I couldn't yet arrange it."
 
Stats of the last 15 Liga Clasicos:
-10 Barça wins
- 2 draws
- 3 Madrid wins
-37 Barça goals
- 18 Madrid goals.
 
>>siri imefichuka,

Wachelewaji wakubwa ktk mazoezi anaanza Pique, anafuata Neymar, alafu Adriano na Turan

Pique ndiye anaongoza list ya wachelewaji nakwa msimu huu mpaka sasa kashapigwa faini ya 1600£

Neymar wa pili kwa uchelewaji mazoezini mpaka sasa kashapigwa faini ya 1400£

Watatu ni Adriano faini ya 1000£

Wanne ni Arda Turan faini ya 400£

>>wanaowahi zaidi mazoezini ni Mascherano, Suarez, Busquets, Iniesta na Messi.

☝hawa hawajawahi chelewa na hutoa taarifa ya dharura mapema nakwa msimu huu hawajapigwa faini hata moja.

Mascherano ndiye anaongoza kwa utii na nidhamu, anakuja Iniesta, wa tatu Suarez, wa nne Messi na Busqets ni watano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…