FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Paying 220K for a player like Yaya per week is crazy!!!
Yaya anaweza kucheza nafasi tatu au nne, ni kiraka mzuri ila sina uhakika na kasi yake, maana inaonekana ni giant flani hivi.

BTW, waingereza najua watapiga kelele, maana majuzi yule dogo Owusu-Abeye aliekuwa anakipiga Portsmouth alihamia Qatar anakula 80 K / week, waingereza wakaanza kupondea..lol
 
Hata namba hana uhakika
alikosa namba ktk spain national team,kule kuna xabi alonso sio barca,kina keita watakaa benchi,atacheza yeye,busquets,xavi,iniesta,barca inakuza na ina mpango wa kuboresha wahispaniola
 
alikosa namba ktk spain national team,kule kuna xabi alonso sio barca,kina keita watakaa benchi,atacheza yeye,busquets,xavi,iniesta,barca inakuza na ina mpango wa kuboresha wahispaniola
Spain alikuwa anatoka Torres anaingia Fab
Keita anacheza Defensive Midfielders pale Barca ,ili timu ibalance lazima either Iniesta/Xavi aanze benchi
 
Spain alikuwa anatoka Torres anaingia Fab
Keita anacheza Defensive Midfielders pale Barca ,ili timu ibalance lazima either Iniesta/Xavi aanze benchi
sawa umeongea point,ila ninavyowajua waspain mimi,hata messi atawekwa benchi,hawawezi kuua kipaji cha mspain mwenzao,kina hleb,henry,petit wote hawakumudu barca sababu ni wageni,si unamkumbuka davor suker,alikuwa mfungaji bora world cup 1998 kule ufaransa wakati huo anacheza real madrid,ila kulikuwa na pedrag mijatovic na raul gonzalez au raul madrid wanavyomuita wakati huo chipukizi,ila huyo suker alisugua benchi mpk akahamia arsenal,wamekuja mastaa kibao eg zidane,figo,beckham,ronaldo lima,mpaka leo kina kaka na ronaldo lakini wapi raul aachii jezi na bado wanamsaluti,hata barca kama utakumbuka kina deco,gaucho na mark van bommel wamehama kutokana na kizazi kipya cha waspain kina sergio busqutes,pedro rodiguez na kuna mwingine marc muniesa achilia mbali bojan krkic
 
Inategemea na aina ya mchezaji ukweli Spain wanakosa Defensive Midfielder anayetunia nguvu so far yupo Sergio na Alonso na Alonso alipata uzoefu mkubwa kwenye Premier League e ndio maana Makelele,Keita,Sena walipata chance .Hawana tatizo la striker au Attacking Midfielder/Winger
 
yap kweli kabisa,yani hiyo ndio ilikuwa inawasumbua spain miaka ya nyuma,ilikuwa inacheza sana ila inafungwa ikikutana na timu zinazotumia nguvu,ila kwa sasa imebadilika hata viungo inao wenye nguvu eg alonso na xavi,kuhusu fabregas kweli tatizo hana nguvu kulinganisha na wenzie kina iniesta,na kweli kama unavyosema hawana tatizo la washambuaji au winger.
 
Kwa wale Braugrana wote tunaingia katika La Liga season nyingine tukianza na Spanish Super Cup,kuashiria msimu mwingine wa vikombe,baada ya kumaliza likizo ya world cup,all Barca players involved in La Roja, were in action on saturday, overcoming a 3-1 deficit,to beat Sevilla 4-0,and win Super cup kwa mara ya 9!!
 
Kwa wale Braugrana wote tunaingia katika La Liga season nyingine tukianza na Spanish Super Cup,kuashiria msimu mwingine wa vikombe,baada ya kumaliza likizo ya world cup,all Barca players involved in La Roja, were in action on saturday, overcoming a 3-1 deficit,to beat Sevilla 4-0,and win Super cup kwa mara ya 9!!
 

Kaka Jina lako gumu
 
Manyinyi Barca hamuachi fujo tu msimu huu. Mascherano mmeshindwa kutoa fweza muafaka mnataka vya bure bure sana.
 
Manyinyi Barca hamuachi fujo tu msimu huu. Mascherano mmeshindwa kutoa fweza muafaka mnataka vya bure bure sana.

Alitakiwa sana msimu uliokwisha tukamshindwa msimu huu hata kocha haoneshi kumhitaji sana, halafu hana thamani hiyo na kocha kisha sema wazi kuwa akija sawa asipokuja pia sawa. Kuna dogo Oriel Romeu, this is a "Guadiola type", na anaweza kuwa backup nzuri sana kwenye DM position
 
Barca wana tamaa sana wakati fweza zinawapiga chenga..
 
Laporta kachukua pesa zote kaenda kufanya kampeni ya uraisi wa Catalunya
 
Laporta kachukua pesa zote kaenda kufanya kampeni ya uraisi wa Catalunya

Hizo ni hisia za walio wengi japo hakuna ukweli katika hilo, Sandro alitumia deni kama mojwapo ya njia ya kushawishi members kukubaliana na mawazo yake ya kutaka kuanza kuuza wachezaji. Sandro anashangaa kwa nini ktk miaka 7 ya Laporta Barca imenunua sana na kuuza kidogo, anataka kuzima mawazo ya kuwa Laporta is the best president in the history of Barca.
 
Barca wana tamaa sana wakati fweza zinawapiga chenga..

Sidhani kama ni kweli,tatizo ni kwamba wachezaji wengi, tena kwa kauli zao wenyewe wanapenda kuechezea Barca, timu yenye tamaa labda ni RM
 
Hivi jamani mnambioa huyu Pep Gurdiola alikuwa na maana gani, KUMTOSA Samuel Et'oo, kisha eti kumchukua Ibrahimovic tena na kuongeza cha juu, kisha msimu huu anamuuza tena chini ya bei aliyomnunulia.....kisa....kaonyesha kiwango cha chini?

Nahisi harufu ya Ubaguzi....kwa sababu Et'oo akiwa Inter amefanya makubwa....ikiwemo kutwaaa champions league.,,,sasa kama wa kuondoka Barca ilikuwa Pep...kwa alivyochemsha hili....sory fans wa Barca lakini huo ndio ukweli
 
Eto'o anamuona Pep ni dogo mwenzake tu hivyo ilibidi mmoja aondoke - mafahali wawili hawakai zizi moja!
 
lakini mbona ni weusi tu ndio wanauzwa barca na sio mweusi akiingia??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…