lakini mbona ni weusi tu ndio wanauzwa barca na sio mweusi akiingia??
Barca walichemsha sana kumsajili Zlatan
Naona leo umekuwa Oxygen Supplier. Thanx..!...natamani thread hii angekabidhiwa BJ...
Naona leo umekuwa Oxygen Supplier. Thanx..!
Nilichomoka kidogo.Hawa jamaa naona wako vizuri,lakini tutaangalia tutamalizaje, si tumeanza vipi. There are still 34 more games to play,including 2 El Clasicos!he he hehe..., nawe unapotea sana siku hizi.
Barcelona wakoje huko? Naskia Real Madrid keshawasha indicator, anawaacha!
...natamani thread hii angekabidhiwa BJ...
Karibu hapa kwetu. Camp Nou Experience! You will experience Barca like never before, sisi hatuna pressure, hata tukifungwa mradi Ball Possession ni 75% kwa 25%,kiroho kwatu...!!Itabidi nitangaze rasmi nia ya kuihama Man U, wananipa presha tu kama timu za Africa WC hii...Nawapa mechi nne, kama wanaendelea hivi basi nitabaki kushangalia kwa mazoea..
Karibu hapa kwetu. Camp Nou Experience! You will experience Barca like never before, sisi hatuna pressure, hata tukifungwa mradi Ball Possession ni 75% kwa 25%,kiroho kwatu...!!
kuna mwenye kumbukumbu ya Fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya ya mwaka 1994 ilikuwaje?
Asante nimeshakaribia, subiri nisake ratiba ya mechi zake..Ramos,Iniesta etc wananikonga
wewe mchokozi unatuchokoza barca,haya tulichapwa 4-0,desailly nae alifunga bao kwa ac milan,ilikuwa athens,kipa wa barca alikuwa andoni zubizaretta,kama unakumbuka world cup1998 france alifungwa bao na sunday oliseh spain vs nigeria walishinda nigeria 3-2 enzi hizo kina raul ndio chipukiza na akafunga bao lake la kwanza la world cup vs nigeria,kipa msaidizi wa barca alikuwa carles busquets babake sergio busquets kiungo wa barca sasa hivi,enzi hizo milan kuna gullit,van basten,paulo maldini na daniel massaro,barca unawakuta hristo stoichkov,romario na pep guardioalakuna mwenye kumbukumbu ya Fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya ya mwaka 1994 ilikuwaje?
wewe mchokozi unatuchokoza barca,haya tulichapwa 4-0,desailly nae alifunga bao kwa ac milan,ilikuwa athens,kipa wa barca alikuwa andoni zubizaretta,kama unakumbuka world cup1998 france alifungwa bao na sunday oliseh spain vs nigeria walishinda nigeria 3-2 enzi hizo kina raul ndio chipukiza na akafunga bao lake la kwanza la world cup vs nigeria,kipa msaidizi wa barca alikuwa carles busquets babake sergio busquets kiungo wa barca sasa hivi,enzi hizo milan kuna gullit,van basten,paulo maldini na daniel massaro,barca unawakuta hristo stoichkov,romario na pep guardioala