FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Kama alivyosema mdau hapo juu ni vigumu ku-conclude kuwa klabu moja ndio bora kuliko zote katika historia. Inaweza timu ikwa bora for a certain period of time na sio all time. Hiyo sio soka tu bali ni mchezo wowote.
Real Madrid:
Ukiongelea soka Spain na Europe in the 50's 60's, 70's hata 80's it was all Real Madrid!! This is the most prestigious football club in Spain.Hata Barcelona wanajua hivyo. This is more than a football club. RM has a historic and rich football tradition.Ilifika wakati kila nyota wa soka duniani alikuwa na dream moja tu i.e. kuichezea R.Madrid.Kuanzia enzi za akina Alfredo de Stefano, Julio Iglesias hadi enzi hizi za akina Raul.
Liverpool:
Liverpool ya 1970's & 1980's (Enzi za akina Keegan, Daglish, Rush, Hansen, Barnes etc.) The most successful English club,miaka hiyo ilikuwa ikifanya mauaji makubwa sana huku ikisulubisha kila timu enzi hizo UK na Europe. Hakuna aliyetaka kwenda Anfield. Baada ya kufungiwa na UEFA kwa miaka 5 kutokana na mauaji wa shabiki wake kule Brussels ktk fainali v/s Juventus mwaka 1985-1990 ndio imekuwa kama laana na kiama cha Liverpool kwani haijarudi kuwa Liverpool ile ya miaka ya mauaji.
AC Milan:
Hii ndio the most succecsful Italian football club so far. Mwisho wa miaka ya 80's na hadi 90's hii timu ilikuwa inatisha na hakuna mtu wala defense alietaka kukutana na The great Dutch Trio( Gulit/Rijkaard/Van Basten)

Baada ya hapo ndio kukaja enzi za Man United, Barcelona na hata Chelsea kwa sasa.
Numbers don't lie. Ukifanya tathmini ya ipi ni the most successful soccer club of all time, inategemea na utakaemwuliza. Je utapima hivyo kutokana na vikombe timu ilivyoshinda? Kama ni hivyo basi ni Real Madrid.
Barcelona is a great team kwa sasa lakini mafanikio yake bado hayajaifikia timu kama Real Madrid , Liverpool, AC Milan, Bayern Munich na Man Utd. Hii ni kuokana na idadi ya vikombe ilivyoshinda Spain na Europe.

Vuvuzela mi nakurekebisha.
AC Milan ni most Succecsfull club all over the world.

Usilete ujanja ujanja wa kuzitumbukiza timu kama Man UtD, Chelsea wala Arsenal.

Unapozungumzia mafanikio ktk soka basi huna budi kupitia historia za Mataji kwa kila klabu.

Sasa kama mtaangalia mafanikio ya vikombe basi AC Milan ndio mashababi wa mafanikio Duniani.
Lakini kama mtataka kuangalia labda timu gani ina wapenzi hapa Tanzania ambao hawana hata kadi basi hapo ndio mtawataja hao wengine.
 
Vuvuzela mi nakurekebisha.
AC Milan ni most Succecsfull club all over the world.

Usilete ujanja ujanja wa kuzitumbukiza timu kama Man UtD, Chelsea wala Arsenal.

Unapozungumzia mafanikio ktk soka basi huna budi kupitia historia za Mataji kwa kila klabu.

Sasa kama mtaangalia mafanikio ya vikombe basi AC Milan ndio mashababi wa mafanikio Duniani.
Lakini kama mtataka kuangalia labda timu gani ina wapenzi hapa Tanzania ambao hawana hata kadi basi hapo ndio mtawataja hao wengine.

AC Milan is a great club. Sikatai. Lakini Twende kwenye record yake ya champions league inapitwa na R. Madrid
Arsenal na Chelsea hazina hata kombe moja la Euro champions league kwa hiyo siziweki.
Man U naweza kuiweka kutokana na 18 league titles na 3 Euro Champion League titles.
Washabiki wengi wa nyumbani wameanza kuangalia mpira baada ya kuja ITV na DTV na ndio maana timu kama Chelsea nayo eti ina washabiki siku hizi, wakati kabla ya kuja Abramovic ilikuwa ni timu ya kawaida tu kama unavoiona Everton.
 
AC Milan is a great club. Sikatai. Lakini Twende kwenye record yake ya champions league inapitwa na R. Madrid
Arsenal na Chelsea hazina hata kombe moja la Euro champions league kwa hiyo siziweki.
Man U naweza kuiweka kutokana na 18 league titles na 3 Euro Champion League titles.
Washabiki wengi wa nyumbani wameanza kuangalia mpira baada ya kuja ITV na DTV na ndio maana timu kama Chelsea nayo eti ina washabiki siku hizi, wakati kabla ya kuja Abramovic ilikuwa ni timu ya kawaida tu kama unavoiona Everton.

Sasa nataka nikusaidie kitu kimoja.
Man UTD hawaruhusiwi na wala hawathubutu kupanda ndege watakayopanda Milan, Madrid, Bayern, Ajax, na Liverpool.

Kwa sababu kwanza utakapotaka kuzilinganisha timu za kutoka nchi tofauti basi unatakiwa uzilinganishe kwa mashindano ambayo huwa wanakutana, na si kwa ligi za ndani.
So Man UTD hawamo humu na ninaomba wasitajwe teena.

Sasa hapa tunalinganisha Kwenye klabu bingwa ya Dunia, UEFA champions League, european Super Cup, Uefa Cup na Intertoto.

Sasa wewe nakuomba uingie chaka kisha uje na jibu je ni timu gani iliyobeba makombe hayo mara nyingi zaidi?

nakupa Dakika kumi.
Ukishindwa ntakuja na ushahidi
 
Sasa nataka nikusaidie kitu kimoja.
Man UTD hawaruhusiwi na wala hawathubutu kupanda ndege watakayopanda Milan, Madrid, Bayern, Ajax, na Liverpool.

Kwa sababu kwanza utakapotaka kuzilinganisha timu za kutoka nchi tofauti basi unatakiwa uzilinganishe kwa mashindano ambayo huwa wanakutana, na si kwa ligi za ndani.
So Man UTD hawamo humu na ninaomba wasitajwe teena.

Sasa hapa tunalinganisha Kwenye klabu bingwa ya Dunia, UEFA champions League, european Super Cup, Uefa Cup na Intertoto.

Sasa wewe nakuomba uingie chaka kisha uje na jibu je ni timu gani iliyobeba makombe hayo mara nyingi zaidi?

nakupa Dakika kumi.
Ukishindwa ntakuja na ushahidi

AC Milan
 
Then ukitaka wachezaji waliowahi kuchezea AC Milan basi pia hakuna timu yoyote itakayosogeza pua...

Anzia na Capello, Trapatoni, Donadoni, Cesare Maldini, Ancelotti, Riijhkard, Van Barstern, Leonaldo Baggio na wengine weeeengi ambao kwa sasa ni makocha.

Hapo bado sijataja kizazi ambacho kwa sasa kinakula Bata tu kama Maldini, Desaily, Franco Baresi, Costacurta, Boban, Gullit, George Wear, Vieri, Albertini, Rui Costa, Cafu, Stam na wengine weeeeeeengi...

Pia kuna wale ambao mpk sasa wanacheza labda kwa vilabu vingine ama palepale Milan.
Hapa utakutana na watu kama Beckham, Kluivert, Edgar Davids, Seedorf, PIPPO, Mtakatifu Gaucho, Ronaldo nazario el-godo De Lima, Rivaldo Victor Borba Ferreira, Honorable Redondo, Nesta, IbraCadabra, Robinho, Pato, Kaka na wengine weeeeeeeengi...

So mtoa mada naomba uweke wazi kuwa Milan ndio klabu yenye mafanikio kuliko klabu yoyote Duniani.
Then funga mjadala ili kupisha mada nyingine.

Asanteni
 
Football is a game of Results na Europe you can measure the teams by Champions League Credentials Now the Best Teams in History in europe will be Real Madrid AC Milan and Liverpool...(ukizingatia Liverpool ilizuiliwa kushiriki kwa miaka minne baada ya vifo vya washabiki), But when we talk kuhusu good football now Barcelona ndio inakuja kichwani lakini historically nadhani Ajax pia inaweza ikawa na good chance
 
na kingine ni kuwa Madrid walibeba kombe mara 5 mfululizo wakati.
So akaja kubeba mara 4 tofauti kwa miaka mingine mingine.


Tofauti na Milan ambao msimu wa 2007 walimfturu Liverfool kwa Goli 2-1.
Goli zilizofungwa na Super PIPPO.
Kisha msimu wa Mwaka 2003 wakamdadavua Juve kwa Penati, kisha mwaka 1994 wakawasasambua Barca kwa jumla ya goli 4-0 ndani ya Dakika 90.

Then akachukua Back to Back msimu wa 1989 na kisha 1990.

So utagundua kuwa Milan huchukua kombe hili kwa kulitafuta, tofauti na Madrid aliyewahi saa kumi na moja Mtoni kabla wenzake hawajaamka na kisha akasombelea ndoo zake na kutulia kimya.


Forza Milan.
Grande Rossoneli
 
Football is a game of Results na Europe you can measure the teams by Champions League Credentials Now the Best Teams in History in europe will be Real Madrid AC Milan and Liverpool...(ukizingatia Liverpool ilizuiliwa kushiriki kwa miaka minne baada ya vifo vya washabiki), But when we talk kuhusu good football now Barcelona ndio inakuja kichwani lakini historically nadhani Ajax pia inaweza ikawa na good chance

Ok sasa wewe ndo umeweka wazi na mada itaeleweka sasa.
Madrid ina Mafanikio ktk champions League tu.
Lakini unapokuja kwa Rossoneli ama Diavolo basi itakulazimu useme wazi kuwa ndio klabu yenye mafanikio kuliko zooote hapa Duniani.


bravo Rossoneli
 
na kingine ni kuwa Madrid walibeba kombe mara 5 mfululizo wakati.
So akaja kubeba mara 4 tofauti kwa miaka mingine mingine.


Tofauti na Milan ambao msimu wa 2007 walimfturu Liverfool kwa Goli 2-1.
Goli zilizofungwa na Super PIPPO.
Kisha msimu wa Mwaka 2003 wakamdadavua Juve kwa Penati, kisha mwaka 1994 wakawasasambua Barca kwa jumla ya goli 4-0 ndani ya Dakika 90.

Then akachukua Back to Back msimu wa 1989 na kisha 1990.

So utagundua kuwa Milan huchukua kombe hili kwa kulitafuta, tofauti na Madrid aliyewahi saa kumi na moja Mtoni kabla wenzake hawajaamka na kisha akasombelea ndoo zake na kutulia kimya.


Forza Milan.
Grande Rossoneli
So to make a long story short if we talk about successfullness in Europe its Real Madrid
Tukiongelea ubora na sio mafanikio (naamisha team bora....) naweza nikargue kwamba hii barcelona ya kina Messi ni bora lakini argumentative hata AC Milan ya Gullit na Maldini ilikuwa bora.., kama ninavyoweza kusema Arsenal iliyokwenda all season unbeaten ilikuwa Bora England kumbuka ubora sio mafanikio...., yaani bora ni kwamba ipo complete kuanzia kipa mpaka striker
 
unawezaje kuwa bora ama kama ulivyonukuliwa hapo juu kuwa uko complete halafu mwisho wa msimu unatoka mikono mitupu?


Mfano Arsenal.
Kuna watu hukurupuka na kusema eti katika timu zenye mafanikio hapa Duniani eti nao wamo....haaaaah
Kwa lipi haswa?


Pia narudi kwako na pia nakutuma na wewe nenda Google then kaulize ni timu gani yenye mafanikio kuliko yoyote hapa Ulimwenguni?


Nakupa dakika kumi.
kama wakiitaja Madrid basi ntakutafuta nikupe ''NUSU YA UTAJIRI WANGU''...
 
So to make a long story short if we talk about successfullness in Europe its Real Madrid
Tukiongelea ubora na sio mafanikio (naamisha team bora....) naweza nikargue kwamba hii barcelona ya kina Messi ni bora lakini argumentative hata AC Milan ya Gullit na Maldini ilikuwa bora.., kama ninavyoweza kusema Arsenal iliyokwenda all season unbeaten ilikuwa Bora England kumbuka ubora sio mafanikio...., yaani bora ni kwamba ipo complete kuanzia kipa mpaka striker

Then Thread haiulizi ubora wa ulaya au England.
Bali thread inazungumzia ubora wa Soka...so ktk Soka Madrid na Milan ni timu ipi imebeba makombe mengi zaidi ambayo kwa namna moja ama nyingine kila timu ilipitia michuano hiyo?


PENA BERLUSCONI...
 
unawezaje kuwa bora ama kama ulivyonukuliwa hapo juu kuwa uko complete halafu mwisho wa msimu unatoka mikono mitupu?


Mfano Arsenal.
Kuna watu hukurupuka na kusema eti katika timu zenye mafanikio hapa Duniani eti nao wamo....haaaaah
Kwa lipi haswa?


Pia narudi kwako na pia nakutuma na wewe nenda Google then kaulize ni timu gani yenye mafanikio kuliko yoyote hapa Ulimwenguni?


Nakupa dakika kumi.
kama wakiitaja Madrid basi ntakutafuta nikupe ''NUSU YA UTAJIRI WANGU''...

No am not talking kuhusu successfully naongelea ubora..., na Arsenal iliyokwenda all season unbeaten was the best team (as in meaning of team and team work..., kwamba kila mtu anafanya kazi yake ipasavyo) tukija the most successfully team in the world AC Milan itabidi ashinde because of winning the mickey mouse competitions kama (intercontinental na word club cups) lakini domestically real madrid has won 31 cups wakati milan ameshinda 18 tu even Inter nadhani kashinda nyingi kumzidi, Juventus ndio anaongoza

Kwahiyo tukiongelea world inabidi tuongelee fifa comeptitions lakini ukicheza final na TP Mazembe kwanini usishinde 🙂
 
No am not talking kuhusu successfully naongelea ubora..., na Arsenal iliyokwenda all season unbeaten was the best team (as in meaning of team and team work..., kwamba kila mtu anafanya kazi yake ipasavyo) tukija the most successfully team in the world AC Milan itabidi ashinde because of winning the mickey mouse competitions kama (intercontinental na word club cups) lakini domestically real madrid has won 31 cups wakati milan ameshinda 18 tu even Inter nadhani kashinda nyingi kumzidi, Juventus ndio anaongoza

Kwahiyo tukiongelea world inabidi tuongelee fifa comeptitions lakini ukicheza final na TP Mazembe kwanini usishinde 🙂

nimegundua kumbe mimi nazungumzia Mafanikio ya Soka na nyie wenzangu mnazungumzia ''kufungwa twafungwa lakini chenga twawala kama hizo za Barca na Arsenal.

Then kwa kukufahamisha pia naona unaitaja mara kwa mara kuwa Arsenal wamekwenda unbeaten.
Ila nakupa hili uliweke akilini na ulikumbuke, ishu ni kuwa Milan alishacheza game 53 bila kupoteza hata moja.
Alianzia kwa Parma na akaenda kukung'utwa na Parma.

So hiyo rekodi yako ya Arsenal kucheza mechi 49 naomba usiirudie tena.


Then unapokuja na Data za kusema Madrid amechukua ubingwa wa La Liga mara 31 then Asozcione Calcio Milan kachukua mara 18 mi kwanza imenibidi nicheke kisha nikuelekeze tu unapotaka kuzilinganisha timu kutoka nchi mbili tofauti basi zilinganishe ktk mashindano yale yanayowakutanisha woote.
na ndio maana nikakuorodheshea aina ya mashindano ambayo Madrid huwa anashiriki na pia Milan huwa anashiriki.


Then fuatilia au uliza kwa watu je umaarufu wa Champions League umekuja lini?
Na je miaka ya awali ni mashindano gani yalikuwa yanafuatiliwa na kupendwa zaidi?
Jibu utaambiwa ni yale ambayo wewe umeyaita ya Mickey Mouse.


Pia kuna kauli umeisema hapo eti kama mashindano yenyewe unacheza na TP Mazembe je kwa nini usishinde?


Nakuelimisha kuwa unapoona timu zinapambana uwanjani ukae ukijuwa zimejiandaa.
So kwa TP Mazembe kuingia Final ya klabu bingwa ya Dunia usije ukadharau, na Inter pale wameandikiwa rekodi yao mpya.


Je Miloslav Klose na Germany waliitwanga Saudi Arabia Goli 8, je Klose aliandikiwa magoli yake au walisubiri awafunge Italy ndio aorodheshewe?
 
Barca kweli bado ni tm bora, wiki iliyopita ilipigiwa kura na kupa 100% ikifuatiwa na man u, lakin pia ni klabu ambayo imetoa wachezaji wengi zaid bora kuliko tim yeyote. Hivyo na fikiri barca inatisha.
 
Jibu utaambiwa ni yale ambayo wewe umeyaita ya Mickey Mouse.


Pia kuna kauli umeisema hapo eti kama mashindano yenyewe unacheza na TP Mazembe je kwa nini usishinde?


Nakuelimisha kuwa unapoona timu zinapambana uwanjani ukae ukijuwa zimejiandaa.
So kwa TP Mazembe kuingia Final ya klabu bingwa ya Dunia usije ukadharau, na Inter pale wameandikiwa rekodi yao mpya.


Je Miloslav Klose na Germany waliitwanga Saudi Arabia Goli 8, je Klose aliandikiwa magoli yake au walisubiri awafunge Italy ndio aorodheshewe?
Mkuu teams dont care kuhusu FIFA competitions huwa zinawachosha wachezaji na ni bora waende holiday kwahiyo mara nyingi hizi timu kubwa uchezesha team B... ni makombe mawili ambayo timu hizi huwa inazingatia Champions League..., Na Kombe la Ligi la Nyumbani hata Hizi cup competition (kama fa na king cups timu hazijali sana) yes najua kwambi Milan ilikwenda 53 games unbeatean ndio maana nikasema ile timu ilikuwa Bora sababu kila department ilikuwa imekamilika..., sababu hata Napoli ilishinda Serie A ila ni kwa nguvu za mtu mmoja single handed (Diego Almando Maradona) kwahiyo huwezi ukasema hiyo timu ilikuwa bora..., ni kwamba Diego ndio alikuwa outstanding.
 
Barca kweli bado ni tm bora, wiki iliyopita ilipigiwa kura na kupa 100% ikifuatiwa na man u, lakin pia ni klabu ambayo imetoa wachezaji wengi zaid bora kuliko tim yeyote. Hivyo na fikiri barca inatisha.

Wadau wameshasema ubora wa timu ni vikombe ilivyochukua na hasa lile Euro Champions League hilo halina ubishi na liko waaaazi kabisaaaaaaaaa na namba zinajieleza zenyewe. Kama hao watu wamepiga kura sawa, basi hata chama cha waandishi wa habari wa michezo hapo bongo nao wanawezapiga kura zao na wakakwambia Arsenal ama Chelsea ndio timu bora kuliko zote zilizopata kutokea duniani kwa sababu wanazozijua wao.
Kama unaongelea mwaka mmoja may be hiyo Barca yako inaweza kuwa timu bora ya 2010. Lakini ukiongelea all time great teams basi hata kama ipo itakuwa chini ya orodha kutokana na record yake kwenye Euro champions league. Kuhusu kutoa wachezaji wengi bora siafiki, nakubaliana na aliesema AC Milan ama Real Madrid.
Fuatilia mpira na historia yake huko nyuma na sio kuwaangalia akina Messi na wenzie then uka come na conclusion eti Barca ndio timu bora ktk historia ya soka.
 
Barca kweli bado ni tm bora, wiki iliyopita ilipigiwa kura na kupa 100% ikifuatiwa na man u, lakin pia ni klabu ambayo imetoa wachezaji wengi zaid bora kuliko tim yeyote. Hivyo na fikiri barca inatisha.

Hebu fafanua Timu bora kwa kitu gani?
Na kwa muda gani?
Je ni kwa All tym au?

Then hebu wataje hao wachezaji bora zaidi wa Barca...
 
binafsi naweza kusema Juventus,Ajax Amsterdam na Bayern Munich ndizo zenye rekodi nzuri barani ulaya kwa hoja ifuatayo,sababu zimebeba makombe yote yanayohusisha timu za barani ulaya,yani,klabu bingwa ulaya,washindi ulaya wakati ule sasa imeungana na uefa cup,uefa cup na klabu bingwa ya dunia
 
Back
Top Bottom