Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,894
- 1,622
kipindi cha pili forward yetu imejichanganya na defenders wao kama maharage na mahindi kwenye kande. Suarez alikuwa kama lone soja behind the enemy line. ndiyo dawa ya wapuuzi wate wanaotaka kuturudisha kwenye Catenaccio. Danny, Neymar na Iniesta shikamooni sana.
Usiumize kichwa sana, Bercalona hafiki mbali, na hana huo uwezo wa kuchukua hili KombeFelix Brych...ameiharibu radha ya hii game, kuanzia dakika ya 36 baada ya red card ya Torres mwelekeo wa game ulikuwa si mzuri sana ulikuwa mchezo wa upande mmoja na pia bado Mjerumani huyu aliendelea kugawa kadi kama njugu kwa player wa Atletico, mpaka game inaisha kadi nane 8 za njano na moja nyekundu zilitolewa kwa upande wa Atletico Madrid huku watatu tu wa Barca ndio waliozawadiwa kadi. Ni kweli kuwa Atletico huwa wanacheza taff game lakini bado mwamuzi alitekwa na tabia ya wachezaji wa Barca kumzonga kila mara, na kiukweli walifanikiwa kuteka akili yake. Mara nyingine UEFA wawe wanaangalia ktk uteuzi wao wa waamuzi ktk game taff kama hii, nafikiri referee toka EPL hii game ingemfaa sana. Nieleweke sisemi kuwa mwamuzi alikuwa upande wa Barca Nooo, but game ilimshinda.
Nan mwenye uwezo wa kulibeba mkuu??Sizinga said:Usiumize kichwa sana, Bercalona hafiki mbali, na hana huo uwezo wa kuchukua hili Kombe
Atletico wanapiga viatu bana hawa watu sio aisee....ukicheka nao wanakuvunja miguu yote miwili
Usiumize kichwa sana, Bercalona hafiki mbali, na hana huo uwezo wa kuchukua hili Kombe
game aliipatia sana.jamaa ni professional lawyer kutoka Munich. alikuwa anajua anachokifanya. pia unavyosema watatu tu wa barca unakuwa kama unasema tulibebwa japo unapretend vinginevyo.Felix Brych...ameiharibu radha ya hii game, kuanzia dakika ya 36 baada ya red card ya Torres mwelekeo wa game ulikuwa si mzuri sana ulikuwa mchezo wa upande mmoja na pia bado Mjerumani huyu aliendelea kugawa kadi kama njugu kwa player wa Atletico, mpaka game inaisha kadi nane 8 za njano na moja nyekundu zilitolewa kwa upande wa Atletico Madrid huku watatu tu wa Barca ndio waliozawadiwa kadi. Ni kweli kuwa Atletico huwa wanacheza taff game lakini bado mwamuzi alitekwa na tabia ya wachezaji wa Barca kumzonga kila mara, na kiukweli walifanikiwa kuteka akili yake. Mara nyingine UEFA wawe wanaangalia ktk uteuzi wao wa waamuzi ktk game taff kama hii, nafikiri referee toka EPL hii game ingemfaa sana. Nieleweke sisemi kuwa mwamuzi alikuwa upande wa Barca Nooo, but game ilimshinda.
sema Amen![emoji2] [emoji2] [emoji2] asante
Amensema Amen!
Usiumize kichwa sana, Bercalona hafiki mbali, na hana huo uwezo wa kuchukua hili Kombe
Mwenye uwezo ni nani sasa? Ninyi wana-arsenal mna matatizo mno, tulishawapiga nje kaeni mtulie...hebu angalia babu yenu anazidi kuisha tu😀😀 maskini ya Mungu, mwishoe atapata madonda ya tumbo buree
View attachment 335207
Second time now barca anamfunga atletico de Madrid akiwa pungufu..... Hii ni dhahiri kipimo cha atletico kwa barca ni players 9 ndani....ila red card ya mapema ni tatzo piaaa referee hakustahili kufanya HVO ila big up kwa vijana wa simeone wamejitahidi kuhold...game toka dakika ya 36 walipokua pungufu......naamini atletico atamwondoa barca next weekNingeshangaa usingetoa uchambuz wako usio na mantiki 7bu ulikuwa mstar wa mbele kusema Atletico atafika final
refa kaharib mechi..mech kubwa unatoa ksd km karanga....afu utafakiri refa hajui km alves na sergio hua ni wahun tu..mwenzako amekaa darasani kupata cheti cha FIFA, kama kweli kadi hawakustahili tutasikia msimamo wa UEFA.
au na ww una cheti cha u referee cha TFF
Dah kweli ndo zetu hizo... Hasa kwenye Uefa. Miaka yote tunachukua kwa kubebwa. Wapinzani wanakula nyekundu tu. Man U walikuwa na nyekundu 2009 tukawatia 2-0 fainali. 2011 tukawapiga 3-1 hadi babu akatetemeka kwa sababu ya kadi nyekundu waliyokuwa nayo. 2015 tukawatoa Bayern nusu fainali. Tuliwapiga 3-0 Nou Camp kwa sababu ya kadi nyekundu waliyopata. Na fainali Juve tukawatia 3-1 kwa kuwa walikuwa na nyekundu. Dah marefa wanatubeba mno!!!Second time now barca anamfunga atletico de Madrid akiwa pungufu..... Hii ni dhahiri kipimo cha atletico kwa barca ni players 9 ndani....ila red card ya mapema ni tatzo piaaa referee hakustahili kufanya HVO ila big up kwa vijana wa simeone wamejitahidi kuhold...game toka dakika ya 36 walipokua pungufu......naamini atletico atamwondoa barca next week
kakusanya umbeya nairaland na kuuleta bila kujiridhisha usahihi wake.Dah kweli ndo zetu hizo... Hasa kwenye Uefa. Miaka yote tunachukua kwa kubebwa. Wapinzani wanakula nyekundu tu. Man U walikuwa na nyekundu 2009 tukawatia 2-0 fainali. 2011 tukawapiga 3-1 hadi babu akatetemeka kwa sababu ya kadi nyekundu waliyokuwa nayo. 2015 tukawatoa Bayern nusu fainali. Tuliwapiga 3-0 Nou Camp kwa sababu ya kadi nyekundu waliyopata. Na fainali Juve tukawatia 3-1 kwa kuwa walikuwa na nyekundu. Dah marefa wanatubeba mno!!!
Vipi mmerizika wembeee nkuwi Th Name Bitoz Root Belo
Kwani sheria ya mpira inasemaje???naomba uniambie muda sahihi wakupewa kadi nyekunduSecond time now barca anamfunga atletico de Madrid akiwa pungufu..... Hii ni dhahiri kipimo cha atletico kwa barca ni players 9 ndani....ila red card ya mapema ni tatzo piaaa referee hakustahili kufanya HVO ila big up kwa vijana wa simeone wamejitahidi kuhold...game toka dakika ya 36 walipokua pungufu......naamini atletico atamwondoa barca next week
Nimeona 2-1 haya ya msimu upi? [emoji41] [emoji41]Bar 3-0 Atl