Felix Brych...ameiharibu radha ya hii game, kuanzia dakika ya 36 baada ya red card ya Torres mwelekeo wa game ulikuwa si mzuri sana ulikuwa mchezo wa upande mmoja na pia bado Mjerumani huyu aliendelea kugawa kadi kama njugu kwa player wa Atletico, mpaka game inaisha kadi nane 8 za njano na moja nyekundu zilitolewa kwa upande wa Atletico Madrid huku watatu tu wa Barca ndio waliozawadiwa kadi. Ni kweli kuwa Atletico huwa wanacheza taff game lakini bado mwamuzi alitekwa na tabia ya wachezaji wa Barca kumzonga kila mara, na kiukweli walifanikiwa kuteka akili yake. Mara nyingine UEFA wawe wanaangalia ktk uteuzi wao wa waamuzi ktk game taff kama hii, nafikiri referee toka EPL hii game ingemfaa sana. Nieleweke sisemi kuwa mwamuzi alikuwa upande wa Barca Nooo, but game ilimshinda.