Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe matokeo basiDah kweli ndo zetu hizo... Hasa kwenye Uefa. Miaka yote tunachukua kwa kubebwa. Wapinzani wanakula nyekundu tu. Man U walikuwa na nyekundu 2009 tukawatia 2-0 fainali. 2011 tukawapiga 3-1 hadi babu akatetemeka kwa sababu ya kadi nyekundu waliyokuwa nayo. 2015 tukawatoa Bayern nusu fainali. Tuliwapiga 3-0 Nou Camp kwa sababu ya kadi nyekundu waliyopata. Na fainali Juve tukawatia 3-1 kwa kuwa walikuwa na nyekundu. Dah marefa wanatubeba mno!!!
Vipi mmerizika wembeee nkuwi Th Name Bitoz Root Belo
wametuliza. hii game inanitia wasiwasi.
Humu kinaendelea nini mbona kama sielewi hivi
Nini tatizo kwani?Kaa pending bwana mdogo
Usiwe mwenye Imani habaNaamini kipindi cha pili tutarudisha, na tutaogeza lingine
Wamekaa tena. Nakumbuka Moyes wakati anafundisha Real Sociedad aliwafunga Barcelona cha babuB
A
S
H
A
L
O
N
A
B
I
L
A
R
E
D
C
A
R
D
H
A
I
W
E
Z
E
K
A
N
I
[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Vipi mmerudisha au?Naamini kipindi cha pili tutarudisha, na tutaogeza lingine
Gepu point tatu!Kaa pending bwana mdogo
Hongera kwa kurudisha na kuongezaNaamini kipindi cha pili tutarudisha, na tutaogeza lingine
PNC & Co.Wale wapiga kelele wote wamejipiga ban,
Ndio raha ya football
Watarudisha kesho kwenye kipindi cha michezo, mtu katunguliwa makofi hadharaniVipi mmerudisha au?
Hahahaha inawezekana pia. Barcelona wamekaaWatarudisha kesho kwenye kipindi cha michezo, mtu katunguliwa makofi hadharani