FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Dah kweli ndo zetu hizo... Hasa kwenye Uefa. Miaka yote tunachukua kwa kubebwa. Wapinzani wanakula nyekundu tu. Man U walikuwa na nyekundu 2009 tukawatia 2-0 fainali. 2011 tukawapiga 3-1 hadi babu akatetemeka kwa sababu ya kadi nyekundu waliyokuwa nayo. 2015 tukawatoa Bayern nusu fainali. Tuliwapiga 3-0 Nou Camp kwa sababu ya kadi nyekundu waliyopata. Na fainali Juve tukawatia 3-1 kwa kuwa walikuwa na nyekundu. Dah marefa wanatubeba mno!!!
Vipi mmerizika wembeee nkuwi Th Name Bitoz Root Belo
Nipe matokeo basi
 
B
A
S
H
A
L
O
N
A

B
I
L
A

R
E
D

C
A
R
D

H
A
I
W
E
Z
E
K
A
N
I
[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
B
A
S
H
A
L
O
N
A

B
I
L
A

R
E
D

C
A
R
D

H
A
I
W
E
Z
E
K
A
N
I
[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Wamekaa tena. Nakumbuka Moyes wakati anafundisha Real Sociedad aliwafunga Barcelona cha babu
 
Back
Top Bottom