FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hongera ulijua mapema
 
Ama kweli paka akiondoka panya hutawala, bila kupunguziwa mtu huwa ni shida sana kumbe, mafalsafa yote yamegonga mwamba
 
tumepoteza game mbili za ligi mfululizo!!!. pale kati palianza pa baridi sana leo. kipa wao nao alikuwa sharp sana. siyo mbaya. visca el barca.
 
Reactions: PNC
Kashafungwa ndugu! Jumlisha tena rekodi hii imeandoka tena na kipigo 1-0. Point nne tu Madrid wataikamata!
 
Kashafungwa ndugu! Jumlisha tena rekodi hii imeandoka tena na kipigo 1-0. Point nne tu Madrid wataikamata!
Barca mpaka timu Mpinzani apewe kadi nyekundu Ndipo Mambo Yao yanyooke! Bila hivyo ni kipigo au sare!
 
Endelea kuweka kumbukumbu! Dozi inaendelea.
 
Reactions: PNC
Hadi huruma, poleni sana wahanga.

Mkumbuke wanaowakimbiza wanambio kwelikweli.

Msipokaza, mtaacha historia tu kuwa mliongoza points 11 na kucheza mechi 39 bila kupoteza.

Teh teh teh
 
Habari za hapa nyie Glory hunters!

POLENI KWA MSIBA,
Mwili wa marehemu umeshaletwa au bado??
 
Habari za hapa nyie Glory hunters!

POLENI KWA MSIBA,
Mwili wa marehemu umeshaletwa au bado??
Vidole vina ganzi hawawezi ku-type watarudi hapa wiki ijayo
 
...Atletico ndio wako karibu na Barca, nashangaa Real ndio wanachekelea!!, halafu bado Barca yupo juu,mtaendelea kuishi kwa matumaini hivyo hivyo,hii game ilikuwa lazima kocha apumzishe baadhi ya wachezaji,sababu Atletico ni game ngumu zaidi ya Wolfsburg,ok?!
 
Wakiongozwa na mshabiki wa zamani wa Arsenal PNC 1, kabla hajahamia huku ughaibuni.
...kama Arsenal wanazingua,unaangalia mpira uko wapi unaufata,haiwezi kuwa kesi,ni moyo tu!,eti,kwani wewe ni Atletico Madrid?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…