timu zikibana pale nyuma zinatutesa sana. nimehuzunika sana.Sanaaaaa.....nimeamini ule mwiko wa kuchukua UEFA Mara mbili mfululizo hauvunjiki aiseee.....dohhh hakuna ambaye alitegemea kweli Athetico you deserve it mmejua kutumia mbinu vizuri.....Barca no plan B.....
Hongera kwa kukata kilimi.Kesho BARCELONA itawakata vilimi wale wote wanaoiombea mabaya VIVA BARCELONA CHAMA LETU KUTOKA MOYONI
kuna mbeleko moja hapo ya penanti mzee bitozi refa kaweka freekick wakati jamaa kashika ndani ya box.B
A.
S
H
A.
L
O
N
A
B
I
L
A
M
B
E
L
E
K
O
H
A
I
W
E
Z
E
K
A
N
I
[emoji638] : [emoji778]
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kwanini JF isiwe na raha kwa style hii hahaaaaaa. Sijui nicheke cheko la Wacha 1 khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeLeo ni Atletico Madrid dhidi ya FC BARCELONA miamba ya catalonia na kiufup nakuwekea maneno machache yatakayoongelewa na maadui wa BARCA baada ya dkika 90 mechi ya leo
1:BARCELONA anabebwa sababu kadi za njano zilitolewa nyingi ila wao wakifanya faulo wanaachwa
2: BARCELONA anabebwa ile kadi nyekundu ilikuwa sio halali
3: BARCELONA ni timu ya mbeleko wamepewa penat wakat wenzao wamenyimwa ya wazi
4: BARCELONA imeshinda goli nyingi sababu Atletico walikuwa wanaukosefu wa mastar kama Torres
5: Messi magoli aliyofunga ni ya kawaida sana
6: Tulijua BARCELONA ingepita sababu Atletico hivi karibuni amekuwa anafungwa sana na BARCELONA
7: BARCELONA ni timu inayocheza wakiwa 12 uwanjani maana refa wakwao ndio mana inaitwa Uefalona
VIVA BARCELONA MORE THAN CLUB
Mkuu umesahau kuwa huyo iniesta ilibidi awe nje kwa redkuna mbeleko moja hapo ya penanti mzee bitozi refa kaweka freekick wakati jamaa kashika ndani ya box.
lakini poa tu, atretico wamestahili 100%
[emoji638] : [emoji778]kuna mbeleko moja hapo ya penanti mzee bitozi refa kaweka freekick wakati jamaa kashika ndani ya box.
lakini poa tu, atretico wamestahili 100%
Duh.........Atletico 2 - 0 Barcelona utabiri tu
Naona utabiri umekuwa kweliDuh.........
Nimecheka sana aisee...Kwa furaha ya kutolewa Barcelona Naona leo Cristiano Ronaldo ataenda kuulalia kabisa na sio kuukalia huko Morocco
HongereniNawaonea huruma Atletico